Utajuaje kama huna nafsi au umeuza nafsi



Tell me more kuhusu watu wenye M kiganjani. Please all to that...
E.g their life in general, wealth and prosperity, successes and failures im life, Relations and possible remedies to the bad energies associated
 
Kila binadamu aliye kamilika lazima apitie kipindi cha mateso makubwa sana katika maisha yake hiyo ninkawaida cha msingi kuwa na Imani kila nafsi itajaribiwa
Out of topic, Je unaamini uwepo wa majini !? ( Sina uhakika Kama Ni majini au Ni Nini maana nimekuwa katika jamii ambayo inatuaminisha kuwa hao ndio majini ) hapa naongelea Watu ambao Wana pandisha mapepo ' Je ile hali Ina sababishwa na ninini !? Mpaka baadhi ya ile Hali ninini ambacho huwa kina mkuta !?

Katika jamii zetu nimewahi kukaa na watu wenye Hayo mapepo sijui ndio majini ' na huwa yana waingia baadhi ya watu na kuanza kuwashrutisha kufanya baadhi ya Mambo ambayo wao wanayatka na inapotokea binaadamu huyo akaenda kinyume na matakwa hayo maisha yake huwa yanaishia kuvurugika na kuandamwa na mikosi ama wengine kupatwa na umauti kabisa ' je Kuna ukweli wowote katika hayo !?
 
Okay through hiyo meditation ukisha ifanya. Na kuwakaribisha hao viumbe wengine na kuingia mwilini mwako , huwa unapata faida gani !?
 
Okay through hiyo meditation ukisha ifanya. Na kuwakaribisha hao viumbe wengine na kuingia mwilini mwako , huwa unapata faida gani !?

Hupati faida yoyote Utakuwa umepoteza nafsi yako na watakuwa wamepata kiti. Na cha muhimu hutaweza kuji control ufahamu wako na ikikuzoea mwisho wake utakuwa huwezi kutofautisha mawazo yako na mawazo ya hao viumbe kwani watafunga ile intrnal dialog iliyopo ndani yako
 
Okay naomba unijibu post #183
 
Tell me more kuhusu watu wenye M kiganjani. Please all to that...
E.g their life in general, wealth and prosperity, successes and failures im life, Relations and possible remedies to the bad energies associated

Mkuu hii mada ni ndefu ila nitakuelesha kwa ufupi tuu manake ili uweze kusoma alama za vidole vyako lazima ujue misingi mitano ya mistari iliyopo kwenye kiganja cha mkono.

Kuna mstari wa ndoa chini ya kidole kidogo , kuna mstari wa maisha au umri wa kuishi huu umepita karibu na gumba, kuna mstari waa kichwa ni ule wa katikati , kuna mstari wa moyo na mstari wa pesa. Kila mstari una maana yake kulingana na urefu au ufupi wake. Kuna alama nyingine kama X na Delta. Hii alama ya delta ni kama pembe tatu ni wachache ambao wanayo
 

Majini wapo wa jamii tofauti sana kuna majini wenye asili ya falme za kiutawala na mali yani majini matajiri ambayo majini wa namna hii hutumiwa na watu wenye pesa nyingi sana kupitia vito na madini ya thamani kubwa kwenye pete mtu hutembea nayo ndiyo huwavuta hawa majini na kuna majini waliotoka katika falme za chini ambao hao ni maskini na mara nyingi hukaa chooni hasa kichafu au majalalani au kutumwa na majini haya ya chini ni rahisi kuyatoa.

Mtu mwenye majini au mapepo wachafu ina maana yake kuwa mtu huyo hana nguvu za kiroho za kumlinda in short hana ulinzi wowote. Ukiona mtu amepandishq haya mapepo jua yeye mwenyewe amekubali kwa kujua au bila kujua mara nyingi huanzia kuweka mikataba yao ndotoni.

Hakuna binadamu yoyote yule mwenye uwezo wa kutoa majini awe mganga au mchungaji au shehe ila tu mwenye uwezo wa kufukuza hayo majini ni huyo aliyekumbwa na hayo majini kujikomboa mwenyewe kupitia nguvu ya nafsi yake afanye nadhiri ya nafsi yake kukataa kuingiliwq na jini au kiumbe yoyote kwani yeye alizaliwa huru na mwili nafsi na roho na ataishi hapa duniani akiwa huru na akifa afe akiwa huru. Kila binadamu amezaliwa akiwa huru utumwa wa majini unakuja pale mtu anapo yakaribisha.

Majini yanatumia hofu kutawala watu ili kuyaondoa inabidi mtu aone thamani ya ubinadamu wake kwanza. Akishaona thamani ya nafsi yake majini hayata msogelea.
 
Mimi nimekwelewa sana jinsi ya kuingia pm sijui ntakupa vip kuongea na wewe mengi zaidi au naomba pm
 
Sawa sawa nakupata kabisa description hii ila hujaelezea hata kidogo kama ulivyoahidi.
1. Msitari wa ndoa ni mrefu unagusa ngozi nyeusi.
2. Mstari wa maisha upo kama unafika kwenye ungio la kiganja na mkono ila unafifia fulani ivi then unagawanyika vistari 3 kistari kimoja kinagusa na kukatiza moja ya mstari unaotengeneza x. Kistari kingine nafikiri tuki ignore. Alafu kinachobaki kinafika kwenye joint.
3. Mstari wa kichwa moyo na pesa apo sijajua which is which in this x.

Mi naona x.sio delta. Tell me about x and delta. Tell a bit kuhusu urefu au ufupi vinamaanisha nini
 
Tell me more kuhusu watu wenye M kiganjani. Please all to that...
E.g their life in general, wealth and prosperity, successes and failures im life, Relations and possible remedies to the bad energies associated
Sijawahi kuamini Mambo ya viganja,Kuna mtu niliwahi kutana nae akasema anaweza kujua destiny yangu,Mambo aliyotabiri hayajawahi kamilika na Mimi Nina M...Alichokuja niudhi akasema kitu Cha mwisho nakiona katika Maisha yako you will faint'"nikashangaa kufaint Tena ndio nini?Akajibu kwa sauti ya chinichini "UTAKUFA"nikamuuliza Sasa kifo changu nacho Ni utabiri?Hicho so ndio kitu pekee kwenye Maisha yangu nilicho na uhakika nacho?jifanye nifanyavyo nitakufa tu,,Aaaaah nikaona hizi Mambo za michoro ya mkono magumashi tu.
 

Tunasikiliza tu, then we wont give a damn😊🤩
 

Cause you know, everything is F*cked up anyway... mimi nimepitia uzi huu kuna stuffs zipo alarming... apo alipotaja M nimestuka na kuwa curious aniambie stuffs zaidi anazojua nirelate. Na mimi ni msomaji mzuri wa vitabu na motivations but huwa nina add my common sense to what i read. Ninajua khs meditation toka kitambo na nimefuatilia sana about it and each time and reason they give i definitely dont buy it sijawahi na stowahi kushawishika kufanya meditation. Nimekisoma hicho kitabu alichotaja THE SECRET CHA RHONDA BRYNE kilikua kinaniletea ukakasi sana yani ni magic tupu... its all cheap coffee... i just cant be that much insane nimeisha mdiscredit aliyekirecommend eti ni life changing book
 
Mi ningeomba kuuliza japo si kwa umuhimu, najua wewe sio muumini wa dini wala vitabu vya dini ila kwanini unatumia sana mifano yako kutoka kwenye biblia kuliko kwenye vitabu vyengine?
 
Tuna tishika kishenzi kuusu kifo naawa ma shekh nama pastor kumbe Ni kutoa ofu [emoji120][emoji120][emoji120] kinacho takiwa nikufwata sheria tu[emoji120][emoji120]
Akili za kuambiwa changanya na za kwako, ila utegee kuambiwa kuhusu kifo na watu wengine hali ya kuwa hata hao watu hawajawahi kufa na kurudi kama wewe tu hivyo wote hamna experience kuhusu kifo? Masheikh wanaokutisha kuhusu kifo hawajawahi kufa na huyo anayekwambia kifo hakitishi pia hajawahi kufa sasa hapo utawezaje yupi mkweli?

Cha msingi na wewe fikiria kivyako kwa akili yako kuhusiana na kifo na jibu utakalo lipata ndio lishike hilo hilo kwanini utegemee watu kukwambia?
 
Umeelezea kuhusu dini ila vp kuhusu imani ya kuwepo Mungu? Hivi binaadamu anazaliwa akijua uwepo wa Mungu au ni jambo analolijua kupitia kwa wazazi wake au jamii aliyopo?
 
Uliposhiriki uzinzi ndipo uliruhusu roho chafu zikuharibie
 
Naomba link ya mada uliyozungumzia creation mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…