Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Tusubiri majibuSwali zuri
Tusubiri majibuKwani Gwaji a na Mwamposa wanasemaje? Maana wao huwa wanafungua wafu!
Una amini huwa kuna mila?Hakuna kifo cha ushirikina mkuu...ni basi tu jamii zetu zina baadhi ya mambo zinakumbatia hayana maana...mi binafsi siamini kama uchawi upo.
Katika jamii zetu, kumekuwa na mijadala ya hapa na pale, kuhusu vifo vya binadamu.
Kuna wengine watasema, huyu amekufa kutokana na mpango wa Mungu, na wengine watasema yule amekufa pasipo mpango wa Mungu (kishirikina).
Sasa wakuu, nataka kujua; Utajuaje kama huyu amefariki kwa mpango wa Mungu au kwa Ushirikina?
Kilichosababishwa na ushirikina, utajuaje?Kifo chochote ni mpango wa Mungu ametaka iwe hivyo
Ndio Mila zipo tena Kuna nzuri sana ila hiyo ya uchawi ni woga wa watu tu..hakuna uchawi mkuu.Una amini huwa kuna mila?
Utajuaje sasa; kuwa huyu ni wa ushirikina na huyu ni kifo cha kawaida?Tambua wanaokufa kwa ushirikina ni Afrika tu. Siyo kwenye mabara mengine. Hapo ndipo pa kuanzia.
Inawezekana ukawa sahihiNdio Mila zipo tena Kuna nzuri sana ila hiyo ya uchawi ni woga wa watu tu..hakuna uchawi mkuu.
Utajuaje sasa; kuwa huyu ni wa ushirikina na huyu ni kifo cha kawaida?
Na hakuna Mila mbaya kama hii ya kuamini uchawi...ni chanzo cha migogoro mingi sana katika jamii zetu.Inawezekana ukawa sahihi
Mchango wako muhimu mkuummmmh! kwenda
Na kwa nini unakuwa unaota ndoto za ajabu ajabu?Na hakuna Mila mbaya kama hii ya kuamini uchawi...ni chanzo cha migogoro mingi sana katika jamii zetu.
hahhahahMchango wako muhimu mkuu