Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Sijajua, kama kufanyiwa uchunguzi hospitali, kwa macho yetu haya ya nyama, tunaweza kutoa majibu tofauti.Kama ni ugonjwa watasema na kama alinyongwa watamuona na kama kapewa sumu pia itajulikana
Wapo wanaouwawa na inapita kama alikufa ghafla ooh moyo tu umesimama
Ila kungekuwa na utaratibu wa kupeleka maiti hospital kwanza