Utajuaje kama huyu amefariki kwa mpango wa Mungu au kwa Ushirikina?

Utajuaje kama huyu amefariki kwa mpango wa Mungu au kwa Ushirikina?

Kifo sio mpango wa Mungu wala hafurahii watu wanapokufa..

Eze 18:32 “‘Mimi sifurahii kifo cha mtu yeyote,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. ‘Kwa hiyo geukeni na kuishi.’”
Nani anayepanga?
 
Nani anayepanga?
1. Kwa ujumla muuaji mkuu ni shetani tangu edeni alipowadanganya Adamu na Hawa alifanya wanadamu wote waanze kufa tangu wakati huo ...
YOh 8: 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi, nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu. Alikuwa muuaji alipoanza, .....

2.Pia watu wengi wakufa kwa sababu wapata matokeo ya maamuzi yao kupitia miendo yao, tamaa, uzembe, au maamuzi ya watu wengine yanaweza kukatiza uhai wa wengine mfano spidi kali barabarani, hasira, n.k.

Gal 6:7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;

3.Watawala pia wanasabisha vifo
Muh 8:9 Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.

4. Pia wanadamu wote wanakufa kwa sababu wameridhi dhambi
Waro 5: 12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo kupitia dhambi, basi kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi.
 
Hadi roho inatoka kwa mtu huwa sio siku hiyo hiyo. Kifo ni mchakato ( mtu huanza kufa rohoni) kabla ya manifestation mwilini. Kifo kikiwa katika ngazi ya rohoni unaweza deal nacho, na pia kikiwa kimefika katika mwili kabla nafai yake aijawa dominated na ulimwengu mwingine pia unaweza mrudisha, ila tu nafsi ikiensa katika ulimwengu mwingine imeisha hiyo
Hivi wanaokufa kwa ajali papo hapo au kupigwa risasi za kichwa nao huwa wanapitia hayo
 
Hadi roho inatoka kwa mtu huwa sio siku hiyo hiyo. Kifo ni mchakato ( mtu huanza kufa rohoni) kabla ya manifestation mwilini. Kifo kikiwa katika ngazi ya rohoni unaweza deal nacho, na pia kikiwa kimefika katika mwili kabla nafai yake aijawa dominated na ulimwengu mwingine pia unaweza mrudisha, ila tu nafsi ikiensa katika ulimwengu mwingine imeisha hiyo
Haya mambo ambayo huwezi kuyathibitisha wala kuyachunguza ni bora yaunganishwe katika "mila potofu" na vizazi vyetu vinavokuja wasifundishwe kabisa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Wengine hufa kwa umri kulingana na utaratibu wa Mungu wa miaka ya kuishi.

2. Wengine hufa kwa ajili ya Utukufu wa Mungu.

3. Wengine hufa kwa kulazimishwa hapo weka uchawi na mengineyo, hao roho zao huhangaika sana mpaka wafikie ule umri sahihi.

4. Wengine huondolewa kuepusha uharibifu wao nao roho zao huwekwa na hilo fungu namba 3 hapo juu.
 
Sio rahis kujua mkuu japo wapo wanaojua ILA ni wachache na haiwezekani kukueleza wewe JINSI ya kujua hilo sababu KILA mtu ana uwezo wake wa kuona au kujua vitu yaani hiyo ni natural ya mtu
 
Swari nzuri,. Maiti ya kweli ukivuta nywele zake zinanyofoka kirahisi Yaani bends mpaka kwene kichwa cha marehemu then vuta nywele zake zitang'oka kirahisi kama unavyonyonyoa kiki, kinyume na hapo sio maiti ya kweli, Asante.
Ulishawai kuyafanya haya?
 
Zipo dalili nyingi hadi niingie library nizilete zote ikiwemo na jinsi ya kumrejesha rise from dead, kidini za kizungu na kidini za kienyeji,hii dunia ukijiona umemaliza elimu umejifungia kwenye box.
Baadhi.
1.wakati wa kuaga ukiona mbwa, paka, kuku awakai mbali na mwili jua huo ni mzoga nyie mnaona mtu wao wanaona mzoga wa mnyama.
Mbwa anaona KILA kitu
2.Kaburi kutitia baada ya siku chache za maziko
3.Mtu mda mfupi baada kufa harufu kali, huo ni mzoga sio mtu.
4.Maiti kutoa jasho
5.
Vingine hadi nizame library kwa ufasaha zaidi hii ni elimu pana sana.

Mgomba unao uwezo wa kumrejesha mtu aliyekufa kichawi,plus nguvu ya miti mingine.
Maombi ya vita yana nguvu ya kumrejesha mtu aliyekufa kichawi.
UFAFANUZI.
MCHAWI hana uwezo wa kuua mtu yeyeto bali anao uwezo wa kumficha mtu na asionekane na watu huku still akiendelea kuishi duniani.
Viumbe wenye uwezo wa kuona tusivyoviona ni mbwa,paka,kichaa,wanyama mbalimbali, mtoto Mdogo ambae ajaanza kuongea yaani kiumbe kisichoongea.
 
Kwani Gwaji a na Mwamposa wanasemaje? Maana wao huwa wanafungua wafu!
Kama wapo jf watalijibu hili but sidhani huo mda wa kuchati wanao wao wapo bize na huduma.
Ukiwa level zao upo bize masaa 24
 
Back
Top Bottom