jahtera
Senior Member
- Mar 27, 2020
- 122
- 244
Sawa mkuu japo jiulize na wewe kwanini haufanyi sehemu fulani lakini kuna sehemu unafanya kazi tena vizuri mno hapo vipi mkuuUkianzia usipofanya kazi utauona mchezo mzima. Haufanyi kazi benki na polisi angalau kwa kuanzia. Hushtuki tu ndugu?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app