Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Braza usileft kundi Braza .
Njemba kujiita Anita Dhambi moja mbaya Sana😂.
#Digital Footprinting
Mbweha wewe, kama wewe ulivyoingia na ID ya kiume wakati ni mwanamke, unadhani kila mtu yuko gender confused kama wewe.....
 
Kamchane mama yako kwanza, sio kujimwambafai nyuma ya keyboard
Aya wewe kimya!! Hallla!! Msiambiwe ukweli mnakuja kifua juu!! Hovyo kabisa kubali tu msichana asie kuwa bikra kabla ya ndoa huyo ni malaya, najua itakuumiza ila inabidi Ukubali tu
 
Ukiona limwanaune hasa hawa wa humu jf linawatetea malaya basi tambua kwamba huyo ni shoga! Mwanaume rijali hawezi kuona malaya ni bora kuliko msichana aliejitunza
 
Sawa mkuu wa wapumbavu umesikika nakwambia tena bado ww ni young sanaaa huna ulijualo
 
Kwan hapa katukana au kaongea ukweli ambao watu hawataki kusikia
 
Wahanga wanalia na kusaga meno! Iko wazi toka zama kigori ni mwanamke ambae hajaingiliwa na ndo anaepaswa kuolewa! Kasome bible, rudi kwenye utamaduni wa babu zenu ndo ilikua hivo! Na ndo uhalisia , hapa tunatiana moyo tunajifanya tuna mind lkn ukweli utabaki kuwa ukweli ata ukiwa mchungu ,na sisitiza NDO IKO HIVO!
 
Hivi ni kwann tu wanawake ndio wanalaumiwa katika hili wakati wanaume wao ndio watendaji wazuri
Kwa sababu mwanamke ni chombo cha mwanaume, au kitu cha mwanaume na ndo maana umuoa inatakiwa ulipe mahari na majukum yote kuhusu yeye yanakua juu yako mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…