Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Clearly unaumwa...what is this?View attachment 3081032View attachment 3081033
Nna data za karibia watu wote humu ndani Sasa neng'eneka Braza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Clearly unaumwa...what is this?View attachment 3081032View attachment 3081033
Nna data za karibia watu wote humu ndani Sasa neng'eneka Braza.
Braza mbona hutukani Tena ?Clearly unaumwa...what is this?
Kwendaaa unadhani unanitisha na ujinga wako?!Braza mbona hutukani Tena ?
Braza usileft kundi Braza .Kwendaaa unadhani unanitisha na ujinga wako?!
Mbweha wewe, kama wewe ulivyoingia na ID ya kiume wakati ni mwanamke, unadhani kila mtu yuko gender confused kama wewe.....Braza usileft kundi Braza .
Njemba kujiita Anita Dhambi moja mbaya Sana😂.
#Digital Footprinting
Una matatizo...
Sawa Braza.Una matatizo...
Mtoe huyo member hapo juu unamkosea bure...mimi sio yeye,unless mlitibuana...Sawa Braza.
Hasira zote hizi ni kwamba kwenye kusaka zangu sijawahi kupata kitu kipyaUnatuonea wivu wenyewe tunavyoenjoy kusasambuliwa, karibu chamani.
Mbo* tamu wewe!
😂
Aya wewe kimya!! Hallla!! Msiambiwe ukweli mnakuja kifua juu!! Hovyo kabisa kubali tu msichana asie kuwa bikra kabla ya ndoa huyo ni malaya, najua itakuumiza ila inabidi Ukubali tuKamchane mama yako kwanza, sio kujimwambafai nyuma ya keyboard
Ukiona limwanaune hasa hawa wa humu jf linawatetea malaya basi tambua kwamba huyo ni shoga! Mwanaume rijali hawezi kuona malaya ni bora kuliko msichana aliejitunzaUnajua bila sisi wanaume kuweka standard za kuoa bikra. Malaya hawatapungua
Inasikitisha wenzetu hasa SIMPS wameamua kuoa malaya na hawa ndio wanawapa kiburi malaya
Na wanawatetea kabisa. Kuna SIMP moja kanichekesha eti anasema huenda baiskeli ndio imemtoa bikra
Sawa mkuu wa wapumbavu umesikika nakwambia tena bado ww ni young sanaaa huna ulijualoAcha UPUMBAVU we SIMP. Kuendesha baiskeli hakuwezi kutoa bikra labda kama mwanamke anaendesha baiskeli akiwa amekalia dildo au boloyang.
Kuamini uzushi wa kale kama huu inaonyesha ni kwa namna gani ulivyo mtupu kichwani kama MASIMP wenzio waliojazana hapa kutetea malaya.
Uzi ufungweNa utajuaje pia kwamba mwanaume ni mteja wa kahaba/anafanya mapenzi na kahaba?
Kwan hapa katukana au kaongea ukweli ambao watu hawataki kusikiaHaya ndiyo mawazo uliyoamka nayo leo katika harakati zako za kutafuta maendeleo?! Asubuhi hii unakuja na hoja hii isiyo ya lazima.
Mbaya zaidi ni ya kutusi wanawake bila sababu, kwa kuwa tu hao wanawake walikuzaa wewe ukiwa na jinsia ya kiume, siyo ya kike.
Hukutaka kujisumbua kufikiri kuwa, hata mjane atakuwa siyo bikira japo siyo malaya. Hata binti aliyebakwa kuwa siyo bikira japo si malaya.
Hata kama tumejificha kwenye hizi ID's, tupime hoja zetu hapa jukwaani kwa kuwa zinawakilisha upeo wetu katika uhalisia.
Ova
Kwa sababu mwanamke ni chombo cha mwanaume, au kitu cha mwanaume na ndo maana umuoa inatakiwa ulipe mahari na majukum yote kuhusu yeye yanakua juu yako mwanaumeHivi ni kwann tu wanawake ndio wanalaumiwa katika hili wakati wanaume wao ndio watendaji wazuri