Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Kamchane mama yako kwanza, sio kujimwambafai nyuma ya keyboard
Aya wewe kimya!! Hallla!! Msiambiwe ukweli mnakuja kifua juu!! Hovyo kabisa kubali tu msichana asie kuwa bikra kabla ya ndoa huyo ni malaya, najua itakuumiza ila inabidi Ukubali tu
 
Unajua bila sisi wanaume kuweka standard za kuoa bikra. Malaya hawatapungua

Inasikitisha wenzetu hasa SIMPS wameamua kuoa malaya na hawa ndio wanawapa kiburi malaya

Na wanawatetea kabisa. Kuna SIMP moja kanichekesha eti anasema huenda baiskeli ndio imemtoa bikra
Ukiona limwanaune hasa hawa wa humu jf linawatetea malaya basi tambua kwamba huyo ni shoga! Mwanaume rijali hawezi kuona malaya ni bora kuliko msichana aliejitunza
 
Acha UPUMBAVU we SIMP. Kuendesha baiskeli hakuwezi kutoa bikra labda kama mwanamke anaendesha baiskeli akiwa amekalia dildo au boloyang.
Kuamini uzushi wa kale kama huu inaonyesha ni kwa namna gani ulivyo mtupu kichwani kama MASIMP wenzio waliojazana hapa kutetea malaya.
Sawa mkuu wa wapumbavu umesikika nakwambia tena bado ww ni young sanaaa huna ulijualo
 
Haya ndiyo mawazo uliyoamka nayo leo katika harakati zako za kutafuta maendeleo?! Asubuhi hii unakuja na hoja hii isiyo ya lazima.

Mbaya zaidi ni ya kutusi wanawake bila sababu, kwa kuwa tu hao wanawake walikuzaa wewe ukiwa na jinsia ya kiume, siyo ya kike.

Hukutaka kujisumbua kufikiri kuwa, hata mjane atakuwa siyo bikira japo siyo malaya. Hata binti aliyebakwa kuwa siyo bikira japo si malaya.

Hata kama tumejificha kwenye hizi ID's, tupime hoja zetu hapa jukwaani kwa kuwa zinawakilisha upeo wetu katika uhalisia.

Ova
Kwan hapa katukana au kaongea ukweli ambao watu hawataki kusikia
 
Wahanga wanalia na kusaga meno! Iko wazi toka zama kigori ni mwanamke ambae hajaingiliwa na ndo anaepaswa kuolewa! Kasome bible, rudi kwenye utamaduni wa babu zenu ndo ilikua hivo! Na ndo uhalisia , hapa tunatiana moyo tunajifanya tuna mind lkn ukweli utabaki kuwa ukweli ata ukiwa mchungu ,na sisitiza NDO IKO HIVO!
 
Hivi ni kwann tu wanawake ndio wanalaumiwa katika hili wakati wanaume wao ndio watendaji wazuri
Kwa sababu mwanamke ni chombo cha mwanaume, au kitu cha mwanaume na ndo maana umuoa inatakiwa ulipe mahari na majukum yote kuhusu yeye yanakua juu yako mwanaume
 
Back
Top Bottom