Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Kwani,tafsiri ya umalaya ni ipi hasa?
Malaya kwa upande wa mwanamke ni mwanamke anayefanya uasherati kwa lengo la kujipatia fedha, au kupata upendeleo fulani, au kukubaliwa, mara nyingi huwa hajaolewa.

Vilevile mwanamke yeyote anayejiamulia tu kufanya uasherati na mtu yeyote pale anapofuatwa au kutongozwa
 
Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

Haya ndiyo mawazo uliyoamka nayo leo katika harakati zako za kutafuta maendeleo?! Asubuhi hii unakuja na hoja hii isiyo ya lazima.

Mbaya zaidi ni ya kutusi wanawake bila sababu, kwa kuwa tu hao wanawake walikuzaa wewe ukiwa na jinsia ya kiume, siyo ya kike.

Hukutaka kujisumbua kufikiri kuwa, hata mjane atakuwa siyo bikira japo siyo malaya. Hata binti aliyebakwa kuwa siyo bikira japo si malaya.

Hata kama tumejificha kwenye hizi ID's, tupime hoja zetu hapa jukwaani kwa kuwa zinawakilisha upeo wetu katika uhalisia.

Ova
 
Najua wengi wanaokupinga mtoa mda ni eidha walioa wake zao wakiwa mamalaya ( sio bikra) au walizaliwa nje ya ndoa kabla mama zao hawajaolewa, ila ukweli lazima usemwee kwamba bikra ni bikra tu hata msemaje na kitu used ni used tu! Hilo halina ubishi kwanini ukaoe mwanamke ambae hakuweza kujitunza? Ameliwa na watu wangapi? Kila size za mashine zimeingia kwake! Kifupi nikikutana na demu sio bikra tutadanganyana nakula nasepa watajijua mwenyewe wengine mpaka uwa wananililia akijua nitawaoa alafu nawachana live kwamba sioi mwanamke asiekua bikra, ila sealed iheshimiwe Mungu alikua na lengo lake la kuweka ubikra kwa mwanamke, sasa kaza fuvu uoe mke wa mtu maana mme wake ni yule alie mbikiri
 
Back
Top Bottom