Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Umetoka kwenye hoja zako unaanza kulazimisha. Mke wangu anaingiaje hapo?. Hakuna mahala nimekuambia nimeoa mke wa aina gani?. Hii tu inaonyesha jinsi akili zako kisoda. Nazungumzia in general hoja nzima. Nafikiri hata kubishana na wewe ni kupoteza muda ksbb akili zako zimejengwa kwa matofali mabichi
 
Kwani kahaba ni nani? Kahaba ni mwanamke anayetumia viungo vyake kwa ajili ya kujipatia kipato, hoja sio bikira, ilimradi anatumia mwili wake kujipatia kipato huyo ndio kahaba.

Malaya ni Nani? Malaya ni mwanamke au mwanaume asiyetosheka na mpenzi mmoja, yaani mwanamke atakuwa na Juma, wakat huo huo anatembea na John, mwanaume yuko na Mwantumu wakati huo huo anatembea na Salome

Kwa kiswahili chepesi, Malaya anafananishwa na mlafi, mwanaume anataka kila shimo aingie yeye, na mwanamke anataka kila tango ale yeye
Definition yako imekaa poa sana mkuu.
 
Asante mkuu, tunawekana sawa, mtoa mada anaweza akajikuta dada zake wote ni makahaba kwa sababu walio waoa sio waliowatoa bikira, na anaweza kuwa ana hasira maana hajawahi kula mwenye bikira ni kuwa mpole tu
Wakati huo yeye mwenyewe anaweza kuwa malaya tu kwa sababu analala na wanawake tofauti.
 
Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

Njia ya Cuba buongea yote..
Elewa neno...njia ya Cuba
 
Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

Hapana , huu ni udhalilishaji.
Watoto wengi wana anza mapenzi form two kwenye nter-school debate, sports and disco/music.
Huwa wanajaribisha na ukumbuke hapo ndio wamevunja ungo, wanajaribisha tu.
Watoto wa kike SI MALAYA kama unavyotaka kuaminisha UMMA.
 
Ukimkuta sio bikira hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

Wanawake wote ni makahaba mkuu. Hata huyo mke uliye naye ni kahaba mamboleo. Usimwamini mwanamke hata siku moja hata angekuwa mke wa askofu. Akili zao ni moja.
 
Kwenda, Tuache, Tunawapenda Malaya kwanza maana wanatupa sababu za ku enjoy mapenzi
 
Kuwa na Mpenzi asie na Chembe za Kahaba ni ushamba nakuhakikishia huto enjoy mapenzi.

Nyumba za ibada hao wake zenu wanafundishwa kuwa makahaba kwa waume zao.

Wewe hutaki kahaba, mwanamke mshamba bora niendelee na Shower gel.
 
Back
Top Bottom