Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Kuna demu nilimuelewa sanaa tena sanaa ila nilivyokuja kugundua sio bikra nilimchana live kwamba sitomuoa kwakua sio bikra aliumia sana mpaka akalia kiufupi nilimuonea huruma ila sikuwa na namna
Ulifanya uamuzi mgumu lakini sahihi kabisa

Wanawake wama silaha 4 kuu wanazotumia kuwatawala wanaume mabwege
●Machozi
●Ngono
●Drama
●Maneno matamu

Ulikwepa mbili kati ya hizo, huo ndio uanaume

Hakuna kuoa kwa kumwonea huruma mwanamke malaya hata alie au akutunuku tunda
 
Ulifanya uamuzi mgumu lakini sahihi kabisa

Wanawake wama silaha 4 kuu wanazotumia kuwatawala wanaume mabwege
●Machozi
●Ngono
●Drama
●Maneno matamu

Ulikwepa mbili kati ya hizo, huo ndio uanaume

Hakuna kuoa kwa kumwonea huruma mwanamke malaya hata alie au akutunuku tunda
Kauli mbiu ni moja tu
"kama sio bikra just hit and run"
Siwezi kuoa mwanamke amefunguliwa na mtu mwingine wakafanya yao akaliwa na wengine Weee mpaka viungo vikachoka alafu anakuja kupumzikia kwangu noo, lazima heshima ya bikra tuidhamini
 
Siwezi kuoa mwanamke amefunguliwa na mtu mwingine wakafanya yao akaliwa na wengine Weee mpaka viungo vikachoka alafu anakuja kupumzikia kwangu noo, lazima heshima ya bikra tuidhamini
Baada ya kukahabika na kuwa bed to bed midfielder kwa miaka kadhaa kwa nini ujishushie heshima kwa kukubali kuwa her retirement plan? Hizi dharau
 
Malaya ni nani? Malaya ni mwanamke yoyote yule ambae anafanya mapenzi na mwanaume ambae hadi wazazi wake wanajua kwamba fulani ndio mwanaume anae Tembea na binti yetu..
Wakati mwingine mwanamke huyo hupewa hadi " cheti" ya kuhalalisha ukahaba wake ambacho kimebatizwa jina " Cheti cha ndoa"

Kitendo cha mwanamke kuwa anakazwa. Wazazi wake wanajua kwamba binti yao anakazwa. Wanamjua hadi anae mkaza. Na mwanamke huyo wala hao ni aibu tena kuhusu hilo yani anajua kabisa hadi baba ake anamjua mwanaume anae mkaza. Na anajua kwamba kila siku usiku anakazwa.

Mwanaume huyo anaenda hadi kujitambulisha nyumbani kwa wazazi wa binti huyo ili apewe ridhaa ya kuwa ana mkaza kila siku.

Hakuna umalaya na ukahaba mkubwa kama huo.

Swali kwako mtoa mada sasa.

Babu yako kizaa mama ako alikuwa anafahamu kuhusu uhusiano wa baba ako na mama ako?
Mkuu usishangae na yeye mwenyewe anakazwa na wazazi wake wanajua kuwa anakazwa.

Anakazwaje, na nani, na wapi hiyo ni siri yake.
 
Baada ya kukahabika na kuwa bed to bed midfielder kwa miaka kadhaa kwa nini ujishushie heshima kwa kukubali kuwa her retirement plan? Hizi dharau
Dah kaka maneno unayoyaongea ni sahihi sana, yani mtu uoe kitu used kilichotumika na kuingizwa kila aina ya pipe? Na mamikosi juu? Embu jamani tuone dhamani ya waliojitunza

Barikiwa sana Bro!
 
Ukimkuta sio bikra hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

Si Kweli, kuna wengine bikra zimetolewa kwa kubakwa
 
Nimeshangaa comments za baadhi ya wanaume humu wanaowatetea wanawake wasio bikra a.k.a malaya

Labda niwaulize kwa nini mkiwa kwenye mahusiano na wanawake wasio bikra mnahangaika kujua historia ya their past relationships?

Kwa nini mnataka wawe waaminifu kwenye mahusino yenu?

Kama mwanamke kuwa bikra doesn't guarantee that she'll make a good wife, sasa kwa nini mnahangaika kujua historia ya mahusiano yaliyopita ya wanawake wenu?

Kwa nini wapenzi wenu wasio bikra wakiwacheat mnaumia?

If a woman being a virgin doesn't guarantee that she'll make a good wife, then a woman's body counts shouldn't matter

ndege JOHN
Mdakuzi
ngoja ngoja
Magezi bugaga
Barbiedoll
Village-in
ERoni
Glenn
Daudi1
Jaji Mfawidhi
harfizally
Arch Barrel
LIKUD
 
Ila mm nawaza kweli mwanamke asipokuwa bikra ani kahaba ila bado nakataa sababu wanaume sisi tunapenda sana kugonga sasa tunalalamika nini

Anyway kama kuna mdada bikra njo nikuoe 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom