Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple and clearKwani kahaba ni nani? Kahaba ni mwanamke anayetumia viungo vyake kwa ajili ya kujipatia kipato, hoja sio bikira, ilimradi anatumia mwili wake kujipatia kipato huyo ndio kahaba.
Malaya ni Nani? Malaya ni mwanamke au mwanaume asiyetosheka na mpenzi mmoja, yaani mwanamke atakuwa na Juma, wakat huo huo anatembea na John, mwanaume yuko na Mwantumu wakati huo huo anatembea na Salome
Kwa kiswahili chepesi, Malaya anafananishwa na mlafi, mwanaume anataka kila shimo aingie yeye, na mwanamke anataka kila tango ale yeye
Natumaini kama una mke utakuwa hujambikiri. Maana ukifanya hivyo jua kabisa chap atakuwa malaya!Ukimkuta sio bikra hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya
Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu
Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect
Learn or perish
Dunia ina mambo ya ajabu sana mkuuNimeshangaa comments za baadhi ya wanaume humu wanaowatetea wanawake wasio bikra a.k.a malaya
Labda niwaulize kwa nini mkiwa kwenye mahusiano na wanawake wasio bikra mnahangaika kujua historia ya their past relationships?
Kwa nini mnataka wawe waaminifu kwenye mahusino yenu?
Kama mwanamke kuwa bikra doesn't guarantee that she'll make a good wife, sasa kwa nini mnahangaika kujua historia ya mahusiano yaliyopita ya wanawake wenu?
Kwa nini wapenzi wenu wasio bikra wakiwacheat mnaumia?
If a woman being a virgin doesn't guarantee that she'll make a good wife, then a woman's body counts shouldn't matter
ndege JOHN
Mdakuzi
ngoja ngoja
Magezi bugaga
Barbiedoll
Village-in
ERoni
Glenn
Daudi1
Jaji Mfawidhi
harfizally
Arch Barrel
LIKUD
Kwani,tafsiri ya umalaya ni ipi hasa?
Ila ki ukweli kabisa mwanamke ambaye sio bikira hata mahari tunajipendekeza tu kutoa .Huyo ni wa kupewa bure.
Mungu kuweka bikira sio kichaa ana maana kubwa sana.Sema sisi tunachukulia poa ila watu wa dhamani walkua wanalipa uzito sana hili swala .
Unakuta mwanamke keshatoa mimba hata saba ama keshatembea na wanaume 60 ww hata akizaa watoto wako wanakua na nuksi +mikosi na mwanamke nae unakuta keshajaa mamikosi kibao.
Sio lazima iwe hivyoNatumaini kama una make utakuwa hujambikiri. Maana ukifanya hivyo jua kabisa chap atakuwa malaya!
😂😂😂Pole sana kwa kutokujithamini na kuacha kila mmoja akuonje, namuonea huruma huyo aliekuoa ukiwa tayari "used"
Nani alikwambia.nina mahusiano na wanawake hovyo nilikuuliza swali hukujibu mpaka sasa.Nimeshangaa comments za baadhi ya wanaume humu wanaowatetea wanawake wasio bikra a.k.a malaya
Labda niwaulize kwa nini mkiwa kwenye mahusiano na wanawake wasio bikra mnahangaika kujua historia ya their past relationships?
Kwa nini mnataka wawe waaminifu kwenye mahusino yenu?
Kama mwanamke kuwa bikra doesn't guarantee that she'll make a good wife, sasa kwa nini mnahangaika kujua historia ya mahusiano yaliyopita ya wanawake wenu?
Kwa nini wapenzi wenu wasio bikra wakiwacheat mnaumia?
If a woman being a virgin doesn't guarantee that she'll make a good wife, then a woman's body counts shouldn't matter
ndege JOHN
Mdakuzi
ngoja ngoja
Magezi bugaga
Barbiedoll
Village-in
ERoni
Glenn
Daudi1
Jaji Mfawidhi
harfizally
Arch Barrel
LIKUD
Owww kumbe imeuma eee basi jitunzeni Nawaonea huruma wasichana wanaokosa waume wa maana kisa chips za kuhongwa na karanga za kutafunwa😂😂😂
If it makes you feel better about your miserable self!
Anyways sorry mr.man i don’t know you… nilikuwa tu naclap back, this is a game to me.
Weee sema kweli!Owww kumbe imeuma eee basi jitunzeni Nawaonea huruma wasichana wanaokosa waume wa maana kisa chips za kuhongwa na karanga za kutafunwa
Abee
Swali gani?Nani alikwambia.nina mahusiano na wanawake hovyo nilikuuliza swali hukujibu mpaka sasa.
Nipo kutengeneza hoja na sio kutetea jinsia hapa.
Abee
Umejikaza weee ukaona huwezi kulala bila kuniita? 😅😅😅
Umesema vyemaPole ila bikra hairudi mpaka unakufa
Ndo hiki umeniitia?Watu wa JF mnapenda sana kujipa umashuhuri 😂😂😂
Ndo hiki umeniitia?
Si kweli una hoja mfu na yakitotoUkimkuta sio bikra hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya
Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu
Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect
Learn or perish