Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Utajuaje kama mwanamke uliye naye ni kahaba?

Ukimkuta sio bikra hilo ni jibu tosha kuwa mwanamke uliye naye hajatulia ni malaya

Hili halihitaji mjadala wala kuandika uzi mrefu

Ukweli ni kwamba miaka hii binti akishabikiriwa ujue ndiyo ameanza safari ya umalaya iwe direct au indirect

Learn or perish

GEN Z wa bongo wanadeal na vitu baba zao walishindwa ku deal navyo...

Mtajitia vitanzi sana shenz nyinyi?
 
Umesahau upande wa men , vizuri kubalance mada huyo unaemtaka awe bikra wewe mwanaume ni bikra?​

Saa ingine tusitake upendeleo kwenye vizuri, bali pata stahiki yako
Hata vitabu vitakatifu vinakazia bikra kwa mwanamke tu
 
Vipi kuhusu sisi wenyewe, namaanisha sisi wanaume?
Je! tunapotaka kukuta seal je sisi tupo sealed?..au ubikra ni Kwa Wanawake tu?..let us be fair and open minded.
 
Hata malaya alizaliwa na bikira, Hainaga makombo ile, uchawi ni maji tu, ikipigwa H2O kitu ni nyuuu..
 
Back
Top Bottom