Utakaa barabarani mpaka ufikishe miaka 90?

Utakaa barabarani mpaka ufikishe miaka 90?

Mwanzo nimekufuatia nikajua ni akili kubwa ndiyo inayotoa mawazo haya. Lakini baada ya kujibishana kihuni na huyo jamaa, nimegundua wewe ni wale wa kushawishi Fursa za matikiti kwenye Vitabu. Hujui hata hiyo Ardhi ya mazao inapatikana wapi. Ficha aibu yako usidanganye watu
Mimi ni muhuni haswa na nina akili kubwa you could never comprehend. Hata zichanganywe akili zote za ukoo wenu hamuwezi kunifikia. Uknifukunuyua nitakufukunyua zaidi.
Kama unataka ubebwe na ubembelezwe ili uelewe umuhimu wa ardhi its up to you. It's your life not mine.
 
Ardhi inahitaji maarifa ambao ni ugonjwa wa watanzania ardhi haitaji mtaji ardhi inajitosheleza inahitaji nguvu zako tu.
Umesema kilicho sahihi kabisa.
Mtu hataki kuchakata ubongo ni namna gani atumie ardhi ili aondokane na umasikini amebaki kusubiria serikali imuambie cha kufanya.
Amebaki kusubiria zao linalotrend au shughuli ambayo kila mtu anafanya ili afuate mkumbo.
 
Kwa ninavyowajua watanzania watakupinga kwa kila hatua ili mawazo yao yatimie,,kikubwa nikupongeze kufikiria hata hayo uliyoyawaza .......
Ahsante sana.
Kupingwa nitapingwa sana lakini natumai kuna watu watauona huu uzi na kuufanyia kazi ili waboreshe maisha yao.
 
Si hakima bali ni hekima.
Mwenye masikio na asikie.
Siwezi kubishana na mtu asiye na idea yeyote kuhusu history, economics, sociology na anthropology.
Ciao[emoji111]
Sasa si uongee hizo idea mkuu

Naona unakua mkali kidogo

Huijui hii jamii ?

Don't be angry with them waache
 
Ndio. Si lazima mtu akae darasani apewe lecture ya haya masomo. Hata observation ya maisha ya kila siku na kupenda kujifunza mwenyewe inatosha kuyafahamu haya masomo. Haya ni majina tu lakini maarifa yaliyomo ndani yake ndio yanamsaidia mtu ku survive.

Kuna msemo wasema
"Usiache kujifunza maana maisha hayaachi kukufundisha"...

Japo sikupingi kwa mtazamo wako maana ndio mipaka uliyojiwekea na ukomo wa experience yako katika maisha.

Labda kesho au miaka ijayo utapata kufahamu mengi zaidi au kutambua kuwa kuna watu hawahitaji maarifa yote unaoyaona bora ku_survive au wao kuwa "Bora" katika ulimwengu huu
 
Unaongea tu kama umewekewa plug mdomoni eem shika jembe njoo upewe heka 3 apa Ulime aafu utuletee mrejesho kama ni kazi ndogo
😂😂😂😂
Kulima kitu gani? Watu tulilima kwa jembe la mkono acre 40+. Tulikuwa weupe tukawa weusi.
Tafuta shughuli rasmi ya kufanya. Si kilimo pekee (manake naona unagopa sugu za mkononi). Chakata ubongo. Acha visingizio, haya ni maisha yako. Matokeo yake yatakuwa ya kwako si yangu.
 
Sasa si uongee hizo idea mkuu

Naona unakua mkali kidogo

Huijui hii jamii ?

Don't be angry with them waache
Wala sina hasira ninamjibu mtu anavyonisemesha.
Shida inaanza kwenye kutaka kupewa idea. Mtu anataka aelezwe chakufanya tena kwa kubembelezwa na kama ataona ni ngumu anataka kufanyiwa.
Mimi sipo hapa kumueleza mtu cha kufanya kwasababu kila mtu ni individual anatofauti na mwingine. Sipo hapa kutoa mchongo. Utapewa michongo kila siku? Mimi siyo muongoza semina za ujasiriamali ambaye anaetrendisha shughuli ili apate pesa.
Mimi sitafuti ubunge kwamba niongee maneno mazuri ya kufurahisha tu.
Hata kuwaambia wachakate ubongo watafute cha kufanya ni idea nzuri kuliko zote ninayoweza kuwapa.
Natumai wapo watakao fanyia kazi ujumbe wangu.
 
Kuna msemo wasema
"Usiache kujifunza maana maisha hayaachi kukufundisha"...

Japo sikupingi kwa mtazamo wako maana ndio mipaka uliyojiwekea na ukomo wa experience yako katika maisha.

Labda kesho au miaka ijayo utapata kufahamu mengi zaidi au kutambua kuwa kuna watu hawahitaji maarifa yote unaoyaona bora ku_survive au wao kuwa "Bora" katika ulimwengu huu
Unaelewa maana yangu?
Unaelewa maana ya maarifa?
Mtu mwenye uzoefu kakalisha makalio yake kwenye njia za waenda kwa miguu?
 
Mkuu samahani sana! Naomba kuuliza, wewe uko kijiji gani na unalima nini?
 
Wala sina hasira ninamjibu mtu anavyonisemesha.
Shida inaanza kwenye kutaka kupewa idea. Mtu anataka aelezwe chakufanya tena kwa kubembelezwa na kama ataona ni ngumu anataka kufanyiwa.
Mimi sipo hapa kumueleza mtu cha kufanya kwasababu kila mtu ni individual anatofauti na mwingine. Sipo hapa kutoa mchongo. Utapewa michongo kila siku? Mimi siyo muongoza semina za ujasiriamali ambaye anaetrendisha shughuli ili apate pesa.
Mimi sitafuti ubunge kwamba niongee maneno mazuri ya kufurahisha tu.
Hata kuwaambia wachakate ubongo watafute cha kufanya ni idea nzuri kuliko zote ninayoweza kuwapa.
Natumai wapo watakao fanyia kazi ujumbe wangu.
Nimekusoma ingawa binti umepinda. Life is game of chance ukiwa una unaumiza kichwa bila kuchoka. Kilimo cha mtu mmoja bila kitumia wengine (kuajiri) hakiwezi kumtoa mtu. Mkulima ni mtu wa kuhurumiwa tu. Mfano tukiwa vijana kama wewe Tulihamasishwa kuwa tupande miti ili itufae uzeeni. Naam tukahamsika na sasa hiyo miti ina 30 years na sasa ndipo imekomaa kutoa mbao. Mti mmoja unatoa mbao za 2x4 20. Ila kila ubao huko kijijini unauzwa 2,500 bei ya jumla0. Gharama zake ni wale wanaopasua mbao wanalipwa 1,000 kwa ubao na 500 ni gharama ya wabebaji. Hivyo kila mti unapata 20,000 tu. Hicho ndicho kilimo. Ila wale wanaosafirisha hizo mbao hadi mijini wakinunua kwetu wanapata 9,000 kwa ubao mmoja.

Kwa upande wangu naamini a middle man or woman ananufaika na ardhi kuliko mkulima. Ndiyo maana wengi wanajimwaga mijini ili pengine wanaweza kuwa mabilionaire wa kesho
 
Nimekusoma ingawa binti umepinda. Life is game of chance ukiwa una unaumiza kichwa bila kuchoka. Kilimo cha mtu mmoja bila kitumia wengine (kuajiri) hakiwezi kumtoa mtu. Mkulima ni mtu wa kuhurumiwa tu. Mfano tukiwa vijana kama wewe Tulihamasishwa kuwa tupande miti ili itufae uzeeni. Naam tukahamsika na sasa hiyo miti ina 30 years na sasa ndipo imekomaa kutoa mbao. Mti mmoja unatoa mbao za 2x4 20. Ila kila ubao huko kijijini unauzwa 2,500 bei ya jumla0. Gharama zake ni wale wanaopasua mbao wanalipwa 1,000 kwa ubao na 500 ni gharama ya wabebaji. Hivyo kila mti unapata 20,000 tu. Hicho ndicho kilimo. Ila wale wanaosafirisha hizo mbao hadi mijini wakinunua kwetu wanapata 9,000 kwa ubao mmoja.

Kwa upande wangu naamini a middle man or woman ananufaika na ardhi kuliko mkulima. Ndiyo maana wengi wanajimwaga mijini ili pengine wanaweza kuwa mabilionaire wa kesho
Kuliko ukae barabarani siku nzima, ni bora hata uishinikize serikali iboreshe mazingira ya wakulima.
Ni bora mjikusanye mwafanyie protest hao middlemen.
Ni bora upambane ufanye shughuli rasmi kuliko ukae sehemu ambayo haiwezi kukupeleka popote.
 
Narudia tena hakuna kitu kirahisi lazima ujitume kimwili na kiakili.

Hapo nakaziaa..
 
Mkuu unakijua kilimo unakisikia? Ni mtu mwenye pesa tu anayeweza kufanya kilimo kikamlipa , vinginevyo ni aheri kuuza maji town faida ya kuishi shamba ni moja tu, afya imara
 
Back
Top Bottom