Utakaa barabarani mpaka ufikishe miaka 90?

Utakaa barabarani mpaka ufikishe miaka 90?

Ni sawa kabisa ulichosema.
Peer pressure ni janga lingine. Mtu hawezi kujiona yeye kama yeye aangalie future yake anaogopa wenzake watamuonaje utafikiri atazeeka nao.
Na hili ni janga kubwa sana nimelichunguza sana wengi tupo hivyo.
 
Kuliko ukae barabarani siku nzima, ni bora hata uishinikize serikali iboreshe mazingira ya wakulima.
Ni bora mjikusanye mwafanyie protest hao middlemen.
Ni bora upambane ufanye shughuli rasmi kuliko ukae sehemu ambayo haiwezi kukupeleka popote.
Muulize Mzee Mangula aliporejeshwa kijijini na JK alienda kulima viazi. Katika msimu huo serikali ikakataza lumbesa au kilemba. Mzee akawa mtiifu kwa serikali. Madalali wakamkomalia kuwa kama magunia yake hayana kilemba hawayanunui. Unajua kilichotokea, viazi vilioza ukawa ndiyo mwisho wa hiyo project yako. By the way nchi kuonekana kama imeendelea au la, kipimo kimojawapo ni kuangalia idadi ya watu wanaotegemea kilimo. Wakiwa wachache ndiyo maendeleo bwashee
 
Mkuu unakijua kilimo unakisikia? Ni mtu mwenye pesa Tu anayeweza kufanya kilimo kikamlipa , vinginevyo ni aheli kuuza maji town .... Faida ya kuishi shamba ni moja Tu , Afya imara
Sawa endeleeni kukaa kwenye njia za waenda kwa miguu.
 
Muulize Mzee Mangula aliporejeshwa kijijini na JK alienda kulima viazi. Katika msimu huo serikali ikakataza lumbesa au kilemba. Mzee akawa mtiifu kwa serikali. Madalali wakamkomalia kuwa kama magunia yake hayana kilemba hawayanunui. Unajua kilichotokea, viazi vilioza ukawa ndiyo mwisho wa hiyo project yako. By the way nchi kuonekana kama imeendelea au la, kipimo kimojawapo ni kuangalia idadi ya watu wanaotegemea kilimo. Wakiwa wachache ndiyo maendeleo bwashee
Si kweli. Kipimo cha nchi kuendelea ni watu wote kuwa na maisha bora.
Kama nchi nzima inaweza kufanya kilimo chenye tija haimaanishi ni masikini kwasababu wakulima ni wengi.
 
Uko sahihi mkuu in Tanzania, we have LARGE arable land but only 33% of it is put into efffective use! Siku tutakapoamka na kutumia the rest 67% Maisha yata improve both at individual and national level,,,,,,
Kwa kilimo hiki cha jembe la mkono? Tunaposema kulima ni kulima kwa kutumia nyenzo za kitaalam si jembe la mkono (hata likiwa ni jembe la mkono basi uwe mwajiri) zaidi ya hapo ni umaskini mtupu
 
CDM wanazuia maendeleo...!! Wanawafanya vijana wapange vitu mabarabarani kiziba njia mijini.
 
Nimekuelewa sana mleta maada binafsi nakuunga mkono ,vijana tukipata pesa mjini tutoke tukanunue ardhi mapolin huko kwa bei ndogo ,itatufaa baadaye .

Katika shughuri zangu nilifanikiwa kumtembelea mzee mmoja kijijini ndani ndani huko aiseee kuna watu waliona mbali narudia kuna watu waliona mbali .mze ana ekari sio chini ya mia kapanda mikorosho yake ,kajenga nyumba yake ya adabu huko polini anaishi huko kafuga kuku ,mbwa ,ng'ombe mbuzi n.k analima bustani na vikorokoro vyote unavyojua ww

Nje yuko na landcruiser mkonga imepanda hewani ya kwendea mjini .

Eneo alinunua mwaka 1995 akiwa kijana na alianza kuliendeleza miaka ya 2000 .

Nilichojifunza : vijana tununue ardhi kuna kesho na keshokutwa itatufaa .

Ahsanteni
 
Hivi huko insta Kuna Nini kinatrend wakuu ...
Kibakuli kafanyaje ...

Harmonize na Kajala wake vipi...


Mtoa mada Unaropoka kimmbwaaah


Njoo huku Tulime mahindi...

Ziwa Rukwa Vibali vya uvuvi vimeanza kutoka ...

Toka hapo kwa shemeji yako Njoo huku kima wewe ...
 
Nimekuelewa sana mleta maada binafsi nakuunga mkono ,vijana tukipata pesa mjini tutoke tukanunue ardhi mapolin huko kwa bei ndogo ,itatufaa baadaye .

Katika shughuri zangu nilifanikiwa kumtembelea mzee mmoja kijijini ndani ndani huko aiseee kuna watu waliona mbali narudia kuna watu waliona mbali .mze ana ekari sio chini ya mia kapanda mikorosho yake ,kajenga nyumba yake ya adabu huko polini anaishi huko kafuga kuku ,mbwa ,ng'ombe mbuzi n.k analima bustani na vikorokoro vyote unavyojua ww

Nje yuko na landcruiser mkonga imepanda hewani ya kwendea mjini .

Eneo alinunua mwaka 1995 akiwa kijana na alianza kuliendeleza miaka ya 2000 .

Nilichojifunza : vijana tununue ardhi kuna kesho na keshokutwa itatufaa .

Ahsanteni
yakununua kote huko kunaile ya kupewa na serikali very cheap unatoa tu hela kidogo tu
 
Hivi huko insta Kuna Nini kinatrend wakuu ...
Kibakuli kafanyaje ...

Harmonize na Kajala wake vipi...


Mtoa mada Unaropoka kimmbwaaah


Njoo huku Tulime mahindi...

Ziwa Rukwa Vibali vya uvuvi vimeanza kutoka ...

Toka hapo kwa shemeji yako Njoo huku kima wewe ...
Jobless kapewa smartphone leo baas ni shida.

Kutwa anajibizana na watu humu nikajua yupo bize kazini au shambani kumbe Shamba lake ni Jf.
 
Rekebisha hiyo heading, wastani wa kuishi bongo ni miaka 64.
 
Lack of exposure ni tatizo kubwa kwa Watanzania. Niliangalia documentary ya Mghana alikwenda kutafuta maisha Ulaya, alizamia meli akaishia Italy. Alipata kazi kwenye mashamba ya nyanya.

Alibeba idea ile ya kilimo, alipotoboa alikwenda Ujerumani, alinunua matrekta na lorry. Amerudi Ghana sasa hivi anafanya commercial farming ya nyanya.

Umeona sasa!! .. alinunua matrekta na lorry.

Hiki ndio tunachotakiwa kukizungumzia, kilimo ni biashara km zilivyo biashara nyinginezo linahitaji mtaji na sio bla bla km anazoleta mleta mada

Binafsi nawachukia Sana watu wanaochukua kilimo kama kitu chepesi Sana.
 
Umeona, alianza kutafta mtaji huko mjini wa kununua nyenzo za kilimo alipoupata akarudi shambani.
Masanja alikuja mjini akaanza uza mitumba na kuchekesha akapata mtaji akawekeza kwenye kilimo shambani.
Shida ni kwamba siyo kila anayekuja mjini kutafuta mtaji anafanikiwa.

Watu wengi wanakichukulia poa Sana kilimo.
Kilimo linahitaji mtaji na sio blah blah

Huwezi kujiita mkulima km bado unatumia jembe kulima coz hutaweza kufanya kilimo in large scale ambacho ndicho kinacholipa.
 
Umeona sasa!! .. alinunua matrekta na lorry.

Hiki ndio tunachotakiwa kukizungumzia, kilimo ni biashara km zilivyo biashara nyinginezo linahitaji mtaji na sio bla bla km anazoleta mleta mada

Binafsi nawachukia Sana watu wanaochukua kilimo kama kitu chepesi Sana.
Kuna uzi
 
Unaelewa maana yangu?
Unaelewa maana ya maarifa?
Mtu mwenye uzoefu kakalisha makalio yake kwenye njia za waenda kwa miguu?

Nimeijibu comment yako, sikuijibu thread yako 📌📌
 
Back
Top Bottom