Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Kabisa mkuuWanabaki kukuita mafuvu.
Man******naπππππππ₯π₯ππ½ββοΈUkiwa kwenye jeneza utaskia mtu mmoja anasema niachieni nibebe..ishanitokea kama mara mbili
Huku kwetu jeneza la mtu aliyekufa Kwa hilo dudu linawekewa kishikio Kwa juu ili iwe rahisi Kwa mtu mmoja kulibeba Kwa mkono mmoja kama tranka, lengo ni kuwafanya watu kuliogopa like dudu Kwa kuwaaminisha kuwa marehemu kilo zake zinashabihiana na za bua.Ukiwa kwenye jeneza utaskia mtu mmoja anasema niachieni nibebe..ishanitokea kama mara mbili hivi
Utani sasa huoπππHuku kwetu jeneza la mtu aliyekufa Kwa hilo dudu linawekewa kishikio Kwa juu ili iwe rahisi Kwa mtu mmoja kulibeba Kwa mkono mmoja kama tranka, lengo ni kuwafanya watu kuliogopa like dudu Kwa kuwaaminisha kuwa marehemu kilo zake zinashabihiana na za bua.
From hero to zero.Utakapo sifiwa kung'oa mademu kwa wingi, Siku ukiyavagaa Huwa hawatoi sifa tena ni utani mbaya na unafki wa "Pole sana Mwanetu"
View attachment 3155069
Kataa uzinzi mwanangu, Usije Ukasifiwa kwa Kumaliza Kikombe Kimoja cha Uji.