Utakapo sifiwa kung'oa mademu kwa wingi, Siku ukiyavagaa Huwa hawatoi sifa tena ni utani mbaya na unafki wa "Pole sana Mwanetu"

Utakapo sifiwa kung'oa mademu kwa wingi, Siku ukiyavagaa Huwa hawatoi sifa tena ni utani mbaya na unafki wa "Pole sana Mwanetu"

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Utakapo sifiwa kung'oa mademu kwa wingi, Siku ukiyavagaa Huwa hawatoi sifa tena ni utani mbaya na unafki wa "Pole sana Mwanetu"
1731909407288.jpg

Kataa uzinzi mwanangu, Usije Ukasifiwa kwa Kumaliza Kikombe Kimoja cha Uji.
 
Ukiwa kwenye jeneza utaskia mtu mmoja anasema niachieni nibebe..ishanitokea kama mara mbili hivi
Huku kwetu jeneza la mtu aliyekufa Kwa hilo dudu linawekewa kishikio Kwa juu ili iwe rahisi Kwa mtu mmoja kulibeba Kwa mkono mmoja kama tranka, lengo ni kuwafanya watu kuliogopa like dudu Kwa kuwaaminisha kuwa marehemu kilo zake zinashabihiana na za bua.
 
Huku kwetu jeneza la mtu aliyekufa Kwa hilo dudu linawekewa kishikio Kwa juu ili iwe rahisi Kwa mtu mmoja kulibeba Kwa mkono mmoja kama tranka, lengo ni kuwafanya watu kuliogopa like dudu Kwa kuwaaminisha kuwa marehemu kilo zake zinashabihiana na za bua.
Utani sasa huo😂😂😂
 
Back
Top Bottom