Utakuwa wapi? Unakaribishwa tuserebuke!

HEHEHE!maanake najaribu kuload hapa naona bila bila.....

aisee wale samaki kwa kevi pale kinondon wanakuwa tayar saa ngapi?

Saa kumi muzeya naanza kuuza bana. Vipi una genu la mchangani? Mkongomani kaisha?
 
Saa kumi muzeya naanza kuuza bana. Vipi una genu la mchangani? Mkongomani kaisha?
hahahaha!
hamna gemu bana for sam taim,MJOMBA WAKO ATAKUWA HATAMBAI WALA KUTEMBEA KAMA NITAWEKEZA KWENYE GEMZ
 
we nguli wewe hakyanani mwe

Inakuwaje mwanafunzi wangu wa kitambi....usile hayo mavitu kwa sana kula mara moja tu hadi next year tuachie sisi vimbao mbao. @ Asprinnakufahamu pale ukonono ukonamanze
 

this is vere vere
 
hahahaha!
hamna gemu bana for sam taim,MJOMBA WAKO ATAKUWA HATAMBAI WALA KUTEMBEA KAMA NITAWEKEZA KWENYE GEMZ

Mjomba atatembea, atake asitake.
 
mwanangu mbona umemjulisha baba yako wa kambo kabla ya mama yako mzazi?hujui mkataba na huyo baba wa kambo unaweza kukoma siku yeyote na nikakutambulisha mwingine!infwakti kama nitakuwa nimepona haka kaugonjwa kana konisumbua naweza kutokea
 
Asprin tuwekee basi jingo bell jingo bell tuburudike
thank u in advance
 
mwanangu mbona umemjulisha baba yako wa kambo kabla ya mama yako mzazi?hujui mkataba na huyo baba wa kambo unaweza kukoma siku yeyote na nikakutambulisha mwingine!infwakti kama nitakuwa nimepona haka kaugonjwa kana konisumbua naweza kutokea

Afu we mama wewe? Unajua una kesi ya kujibu?
 
mwanangu mbona umemjulisha baba yako wa kambo kabla ya mama yako mzazi?hujui mkataba na huyo baba wa kambo unaweza kukoma siku yeyote na nikakutambulisha mwingine!infwakti kama nitakuwa nimepona haka kaugonjwa kana konisumbua naweza kutokea
AISEE BADO?
wacha bwana!...
aisee will come at your place leo
 
Kanisani muhimu, kuiombea safari yetu ile. Manake bila maombi kuna baadhi ya wana JF hawachelewi kutafunwa na mafisi majike yenye mimba....Yanatafuna vibaya, usithubutu kukutwa!

hahaaaaaa babu usiwapeleke kanisani bana we c ushamaliza kukagua? Subiri na ss 2malizie
 
hahaaaaaa babu usiwapeleke kanisani bana we c ushamaliza kukagua? Subiri na ss 2malizie

Nshakwambia weye una kesi ya kujibu. Ile kitu unajua hujaimalizia?
 
Mama hapigiwi kura......watoto siri ya mama..
kesi ipi tena mwanangu?
 
mmh,fundi cherehani.......!ni pm basi ili unikumbushe mwanangu usije taja siri za mamayo buree,nikakupa radhi
 
Inakuwaje mwanafunzi wangu wa kitambi....usile hayo mavitu kwa sana kula mara moja tu hadi next year tuachie sisi vimbao mbao. @ Asprinnakufahamu pale ukonono ukonamanze

hahahaaa babu anataka kuwapelekeni kanisani noel hii. Halaf hich kitambi hichi na sikukuu hii agh ila fasheni bana
 
mmh,fundi cherehani.......!ni pm basi ili unikumbushe mwanangu usije taja siri za mamayo buree,nikakupa radhi

Hebu kagua inbox yako huko..... hivi kumtuma mwanao kwa fundi cherehani yaweza kuwa siri? Usintie radhi mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…