FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wewc si uitumie hiyo fursa, unangoja kila kitu ufanyiwe? Si hasha hata mkeo utafanyiwa na jirani.Ni kweli mkuu hapa nyumbani mambo mengi mno yako disorganized.
Hakuna mtu anavutiwa kwenda mahali watu hawana mfumo mzuri wa kufanya mambo yao.
Ndio maana watalii wakija ni nadra kurudi tena.