Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wote hao wataenda Rwanda kwa kina Magu.Jumla ya Simba 17 wamehamishiwa katika hifadhi ya taifa ya Burigi huko Chato ikiwa ni hatua ya kuimarisha vivutio vya utalii Kanda ya Magharibi.
Simba hao wamepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Gaguti ambaye amewataka wananchi wa maeneo hayo wawe wakarimu wakati wa kuwapokea na kuwahudumia watalii.
Source: ITV habari!
MnzilanKENDE