UTALII WA KILIMO: Hiki ni kitu nilichokishuhudia wakati natafuta fursa za Kilimo Mkoa wa Iringa

UTALII WA KILIMO: Hiki ni kitu nilichokishuhudia wakati natafuta fursa za Kilimo Mkoa wa Iringa

Inaendelea:
Pale farm for the Future pia wanaprogarm ya Young Mothers. Katika program hiyo, husapoti mabinti waliozalishwa na kutelekezwa na wenza wao au kukatishwa masomo tokana na kupata ujauzito.

Mabinti hao husapotiwa kwa kupewa elimu ya Kilimo, Ufugaji na ujasiliamali kisha hupewa mitaji kama ya mbuzi au mashamba au vifaa vya ujasiliamali na kusimamiwa ili waweze kujisimamia wenyewe kiuchumi.

Shamba hilo lililo chini ya taasisi fulani ya kidini toka nje ya nchi wana mradi wa shamba ambapo hulima mbegu za mahindi kwa ajili ya SEEDCO lakini pia wamepanda karanga mwitu, viazi na Alizeti. Jamaa wana Advance technology nami niliona mengi wa mara ya kwanza kwenye maisha yangu.

HOLISTIC FARMING.
Nimechoka nitaendelea kesho.
IMG_20250214_103410.jpg
 
Hayo maeneo yote nayajua,hapo ruaha mbuyuni kuna wasagara sio poa,utalima ila utavuna guniamoja tu,kunachangamoto sana hapo,kwanza mto lukosi una tabia ya kuhama,wadudu waharibifu,kikubwa uchawi hatari,wanalimia dawa hapo.

Mtandika A and B pako powa,
Ilula sokoni ilula mtuwa kote huko nimevuruga japo sikumbuki kuona mto Kama ruaha mbuyuni ambako kuna mito miwili
 
Hayo maeneo yote nayajua,hapo ruaha mbuyuni kuna wasagara sio poa,utalima ila utavuna guniamoja tu,kunachangamoto sana hapo,kwanza mto lukosi una tabia ya kuhama,wadudu waharibifu,kikubwa uchawi hatari,wanalimia dawa hapo.

Mtandika A and B pako powa,
Ilula sokoni ilula mtuwa kote huko nimevuruga japo sikumbuki kuona mto Kama ruaha mbuyuni ambako kuna mito miwili
Yeah ni kuzuri sana huko mkuu.
 
Hayo maeneo yote nayajua,hapo ruaha mbuyuni kuna wasagara sio poa,utalima ila utavuna guniamoja tu,kunachangamoto sana hapo,kwanza mto lukosi una tabia ya kuhama,wadudu waharibifu,kikubwa uchawi hatari,wanalimia dawa hapo.

Mtandika A and B pako powa,
Ilula sokoni ilula mtuwa kote huko nimevuruga japo sikumbuki kuona mto Kama ruaha mbuyuni ambako kuna mito miwili
Ni kweli ni kuzuri.
 
Kule ni sawa na bure pia Pana cheap labour ya kutosha kwa siku wanalipwa elf tano
Mkuu katika post Yako umeandika malinyi,ulanga halafu ruaha ya mahenge kwahy hizi ni sehemu moja na mkoa upi wilaya gani?
 
Mkuu katika post Yako umeandika malinyi,ulanga halafu ruaha ya mahenge kwahy hizi ni sehemu moja na mkoa upi wilaya gani?
Malinyi ni wilaya,na Mahenge ni makao makuu ya wilaya ya Ulanga.
Kijiji cha Ruaha upatikani baada ya kupita Mahenge kama unataka kuelekea milima ya Sali hadi hifadhi ya mbuga ya Ruaha ipakanayo na mbuga ya selous Morogoro kusini kuelekea Liwale Lindi.
Pana bonde kama heka mia Tano au mia 700 nusu linamilikiwa na kanisa katoliki waasisi ni wajerumani enzi za utawala wa Wajerumani Bonde linalimwa mpunga mwka mzima maji yapo mtoni mwka mzima masika pekee mto unageuka bahari.
Hilo bonde ukichimba mita sita usawa wa shimo la choo unaanza kutana na dhahabu.
Dhahabu ilitoka kwenye safu za milima ikamwagika bondeni miaka.
Mazao unayoweza lima pale ni vitunguu, viazi mviringo vitamu, mahindi,nk.
Hali ya hewa ni joto kama la Dar but pembeni mwa bonde ni baridi kidogo usiku ni baridi sababu ya milima.
 
Malinyi ni wilaya,na Mahenge ni makao makuu ya wilaya ya Ulanga.
Kijiji cha Ruaha upatikani baada ya kupita Mahenge kama unataka kuelekea milima ya Sali hadi hifadhi ya mbuga ya Ruaha ipakanayo na mbuga ya selous Morogoro kusini kuelekea Liwale Lindi.
Pana bonde kama heka mia Tano au mia 700 nusu linamilikiwa na kanisa katoliki waasisi ni wajerumani enzi za utawala wa Wajerumani Bonde linalimwa mpunga mwka mzima maji yapo mtoni mwka mzima masika pekee mto unageuka bahari.
Hilo bonde ukichimba mita sita usawa wa shimo la choo unaanza kutana na dhahabu.
Dhahabu ilitoka kwenye safu za milima ikamwagika bondeni miaka.
Mazao unayoweza lima pale ni vitunguu, viazi mviringo vitamu, mahindi,nk.
Hali ya hewa ni joto kama la Dar but pembeni mwa bonde ni baridi kidogo usiku ni baridi sababu ya milima.
Asante Sana Kwa maelezo mazuri kaka,ila ingekuwa vizuri Sana kama ungenipa na bei kabisa ya kukodi mashamba ya mpunga maana mm Niko interested na kilimo hicho,if possible mwezi wa tano nivune mpunga huku Mwanza niuze nikalime huko mwezi wa sita.
 
Back
Top Bottom