Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,508
- 1,566
Ni uti......Kilimo ni UTI wa mgongo!
UTI ipo sinza na tabata...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uti......Kilimo ni UTI wa mgongo!
Video ni shamba ya marekani/ulaya, mbona unatutoa mchezoni?Huo uzi mbona una uongo ndani ake kwa io video umeatach
Nashukuru wale jamaa wamepiga niadd kwenye group lao la wakulima wa Parachichi baada ya kuonesha interest kwenye kuwekeza kwenye kilimo cha zao hilo.Video ni shamba ya marekani/ulaya, mbona unatutoa mchezoni?
Kwa maelezo yao mkuu. Kuna changamoto ya unyeshaji wa mvua ila kuna faida kwani kuna skimu ya umwagiliaji ambayo wakulima wanalima kwa kumwagilia.Safi Sana Kwa moyo wa kipekee mkuu,naomba kufahamu Nyanzwa yalipo hayo mashamba ya 50000 vipi mvua zipo Kwa wingi kiasi gani na zao gani linasitawi huko.?
Iringa ndanindani ndyo wapi, tupe hiyo location, inaitwaje?Nashukuru wale jamaa wamepiga niadd kwenye group lao la wakulima wa Parachichi baada ya kuonesha interest kwenye kuwekeza kwenye kilimo cha zao hilo.
Hii video nimeitoa kwenye group lao la Parachichi. Je hii nayo sio Tanzania huko Iringa ndanindani?
View attachment 3240080
Nikiwa natokeaMwanza nishukie wapi mkuu ili kwenda NyanzwaKwa maelezo yao mkuu. Kuna changamoto ya unyeshaji wa mvua ila kuna faida kwani kuna skimu ya umwagiliaji ambayo wakulima wanalima kwa kumwagilia.
Pia kuna mpango wa kujenga bwawa kubwa la kuhifadhi maji ya mvua ambayo yatatumika kumwagilia kwenye mashamba ya wakulima.
Bro kilimo cha Mbegu za vitunguu kinalipa sana. Jamaa wanauza tsh 20,000 hadi 30,000 kwa kilo moja ya mbegu za vitunguu.
Wasagara wakoje ebu fungua code unavuna gunia moja inakuawaje hio?Hayo maeneo yote nayajua,hapo ruaha mbuyuni kuna wasagara sio poa,utalima ila utavuna guniamoja tu,kunachangamoto sana hapo,kwanza mto lukosi una tabia ya kuhama,wadudu waharibifu,kikubwa uchawi hatari,wanalimia dawa hapo.
Mtandika A and B pako powa,
Ilula sokoni ilula mtuwa kote huko nimevuruga japo sikumbuki kuona mto Kama ruaha mbuyuni ambako kuna mito miwili
Wachawi sana na wana roho mbaya,wanaiba mazao kimazingaombwe shambaniWasagara wakoje ebu fungua code unavuna gunia moja inakuawaje hio?
Habari njema sana hiiMalinyi ni wilaya,na Mahenge ni makao makuu ya wilaya ya Ulanga.
Kijiji cha Ruaha upatikani baada ya kupita Mahenge kama unataka kuelekea milima ya Sali hadi hifadhi ya mbuga ya Ruaha ipakanayo na mbuga ya selous Morogoro kusini kuelekea Liwale Lindi.
Pana bonde kama heka mia Tano au mia 700 nusu linamilikiwa na kanisa katoliki waasisi ni wajerumani enzi za utawala wa Wajerumani Bonde linalimwa mpunga mwka mzima maji yapo mtoni mwka mzima masika pekee mto unageuka bahari.
Hilo bonde ukichimba mita sita usawa wa shimo la choo unaanza kutana na dhahabu.
Dhahabu ilitoka kwenye safu za milima ikamwagika bondeni miaka.
Mazao unayoweza lima pale ni vitunguu, viazi mviringo vitamu, mahindi,nk.
Hali ya hewa ni joto kama la Dar but pembeni mwa bonde ni baridi kidogo usiku ni baridi sababu ya milima.
Duuh hatari sana, kwahio umenyoosha mikono kwa wasagara? Watu wa Ruaha mbuyuni wanakula Bata sio mchezo vigoma kila siku hasa nyakati za mavuno ya nyanya na vitunguu ni nyokoWachawi sana na wana roho mbaya,wanaiba mazao kimazingaombwe shambani
Kwamba ni yutiyai?Kilimo ni UTI wa mgongo!
Kilolo Mkuu.Iringa ndanindani ndyo wapi, tupe hiyo location, inaitwaje?
Ndio mfumo wetu Toka mababu na mabibi Mkuu!Kwamba ni yutiyai?
Hii nchi ni tajiri sana sema mafala wengi wamelala, tafuta bonde lina maji Lima ndizi au miwa heka kumi Lima kisasa leta mjini soko ni kubwaHabari njema sana hii
Ni sahihi. Kutoka kwangu Dar na kutembea kumenifundisha mengi sana mkuu.Hii nchi ni tajiri sana sema mafala wengi wamelala, tafuta bonde lina maji Lima ndizi au miwa heka kumi Lima kisasa leta mjini soko ni kubwa
Dar utakufa masikini dar ni pazuri kwa ajili ya kujenga apartment za kupangisha au kusambaza mazao vyakula na kula Bata kwa wale ambao furaha yao inaletwa na starehe.Ni sahihi. Kutoka kwangu Dar na kutembea kumenifundisha mengi sana mkuu.
Nimeipenda hii ......malizia tafadhaliInaendelea:
Pale farm for the Future pia wanaprogarm ya Young Mothers. Katika program hiyo, husapoti mabinti waliozalishwa na kutelekezwa na wenza wao au kukatishwa masomo tokana na kupata ujauzito.
Mabinti hao husapotiwa kwa kupewa elimu ya Kilimo, Ufugaji na ujasiliamali kisha hupewa mitaji kama ya mbuzi au mashamba au vifaa vya ujasiliamali na kusimamiwa ili waweze kujisimamia wenyewe kiuchumi.
Shamba hilo lililo chini ya taasisi fulani ya kidini toka nje ya nchi wana mradi wa shamba ambapo hulima mbegu za mahindi kwa ajili ya SEEDCO lakini pia wamepanda karanga mwitu, viazi na Alizeti. Jamaa wana Advance technology nami niliona mengi wa mara ya kwanza kwenye maisha yangu.
HOLISTIC FARMING.
Nimechoka nitaendelea kesho.
View attachment 3236560