UTALII WA KILIMO: Hiki ni kitu nilichokishuhudia wakati natafuta fursa za Kilimo Mkoa wa Iringa

Video ni shamba ya marekani/ulaya, mbona unatutoa mchezoni?
Nashukuru wale jamaa wamepiga niadd kwenye group lao la wakulima wa Parachichi baada ya kuonesha interest kwenye kuwekeza kwenye kilimo cha zao hilo.

Hii video nimeitoa kwenye group lao la Parachichi. Je hii nayo sio Tanzania huko Iringa ndanindani?
Your browser is not able to display this video.
 
Safi Sana Kwa moyo wa kipekee mkuu,naomba kufahamu Nyanzwa yalipo hayo mashamba ya 50000 vipi mvua zipo Kwa wingi kiasi gani na zao gani linasitawi huko.?
Kwa maelezo yao mkuu. Kuna changamoto ya unyeshaji wa mvua ila kuna faida kwani kuna skimu ya umwagiliaji ambayo wakulima wanalima kwa kumwagilia.

Pia kuna mpango wa kujenga bwawa kubwa la kuhifadhi maji ya mvua ambayo yatatumika kumwagilia kwenye mashamba ya wakulima.

Bro kilimo cha Mbegu za vitunguu kinalipa sana. Jamaa wanauza tsh 20,000 hadi 30,000 kwa kilo moja ya mbegu za vitunguu.
 
Iringa ndanindani ndyo wapi, tupe hiyo location, inaitwaje?
 
Nikiwa natokeaMwanza nishukie wapi mkuu ili kwenda Nyanzwa
 
Wasagara wakoje ebu fungua code unavuna gunia moja inakuawaje hio?
 
Habari njema sana hii
 
Wachawi sana na wana roho mbaya,wanaiba mazao kimazingaombwe shambani
Duuh hatari sana, kwahio umenyoosha mikono kwa wasagara? Watu wa Ruaha mbuyuni wanakula Bata sio mchezo vigoma kila siku hasa nyakati za mavuno ya nyanya na vitunguu ni nyoko
 
Nimeipenda hii ......malizia tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…