Utamaduni wa Watanzania kudhani masuala ya siasa hayatuhusu utatugharimu sisi na vizazi vyetu

Utamaduni wa Watanzania kudhani masuala ya siasa hayatuhusu utatugharimu sisi na vizazi vyetu

Kenya wanna katiba mpya,kimebadilika nini!?
Wakenya wana kauli juu ya viongozi
Kiongozi alifanya madudu wananchi wanamwajibisha
Sio hapa kwetu watu wanauza bandari, Masai hawana makazi, utekaji hata waziri haguswi
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Elimu elimu elimu elimu elimu ni Muhimu sana
 
Wakenya wana kauli juu ya viongozi
Kiongozi alifanya madudu wananchi wanamwajibisha
Sio hapa kwetu watu wanauza bandari, Masai hawana makazi, utekaji hata waziri haguswi
Unataka kuwa na kauli juu ya kiongozi,Ili iweje?
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Ni sawa.lakini sijaona faida kubwa kwa mtu wa hali ya chini tena siyo msomi kujiunga na chama Cha siasa.
Unamchangua mbunge au diwani yeye anaenda kunemeeka wewe maskini utakufa na umaskini wako!! Unaendelea kukamliwa Kodi yeye mbunge nasikia halipi kodi.sijui ni kweli?
 
Akishaitwa kiongozi ni basi tena.labda apate ufahamu wa kimuungu.ndiyo maana tunatakiwa kuwa makini tunapochagua viongozi wetu.
Kiongozi ni mtumishi wangu
Yuko madaraka me ndo nimemweka
Asipofanya ninayoyataka, nataka katiba itupe nguvu ya kumwajibisha
 
Akishaitwa kiongozi ni basi tena.labda apate ufahamu wa kimuungu.ndiyo maana tunatakiwa kuwa makini tunapochagua viongozi wetu.
Katiba nzuri itakuwa suluhi ya haya yote na itakuwa suluhu ya mtazamo wako, mambo hayapaswi kuwa ivo kama unavodhani
 
Watanganyika wamejenga dhana ya kutohoji wala kufuatilia masuala ya kisiasa na kudhani siasa haimunufaishi.

Mtu anaona kwakuwa anakula na kuishi mambo mengine sio ya muhimu, aani kwamba Katiba mpya sio suala linalotuhisu kwakuwa unaamka asbh unapata mkate basi.

Bandari zinauzwa
Serengeti unaenda kuchimbwa madini, kwa baadae Serengeti haitakuwepo, tupo kimya, Sasa vizazi vyetu vitakuta nini? Vitatuona tulikuwa wajinga kiasi gani?

Rushwa serikalini imekuwa kubwa, mali za umma zinauzwa.

Utekaji na mauaji
Tunaona kawaida Kwa kuwa hatujatekwa au kuuliwa sisi au ndugu wa karibu

Huduma mbovu za kijamii
Shule hazina walimu na madawati. Hospital hakuna madawa, watu hawana bima. Maji hakuna, umeme wa uhakika haupo.

Bunge limekuwa kama sehemu ya kuimba mapambio. Bunge limewekwa mfukoni. Bunge la wananchi linatunga sheria za kuwakandamiza wananchi, rejea mambo ya tozo n.k. Tuko kimya tu.

Tujifunze Kenya wao wale sio makondoo kama Watanganyika
Siasa ni kitu cha kufutwa kabisa Tanzania
 
Back
Top Bottom