Doto Dotto
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 3,906
- 2,902
Wanataka kununua silaha mpyaUlinzi wana miradi gani mpk wapewe budget kubwa hivyo kuzidi wizara za Elimu, Ujenzi na Afya? 3.3T
Nchi ipo vitani?Wanataka kununua silaha mpya
Ndiyo maana nilimwana Bwana yule wa 900 itapendeza viunga vya Dodoma. Hapo tayari tenda ya 1T iko mikononi mwake.Wanataka kununua silaha mpya
Udini utakuuwa wewe, hayo mambo ya uwiano pelekeni huko kwenye siasa, msitelee upuuzi wenu na madini yenu huku unatakiwa weledi katika fani.Sikujua tumefikia huko.
Kuna kitu nimekiona ngoja ninyamaze.
Good idea but hao watu si wa kuingiza kwenye politics kabisa
Kwani hawapo ?Good idea but hao watu si wa kuingiza kwenye politics kabisa
Kwamba waislam wao hawapo JWTZ wameokotezwa mtaani tu na kuvalishwa gwanda ?Ni jeshi la wananchi au jeshi la waislamu?rubbish
Ulinzi wana miradi gani mpk wapewe budget kubwa hivyo kuzidi wizara za Elimu, Ujenzi na Afya? 3.3T
Ulitaka iwe 50/50 ?More than 70% kobazi
Uwekekeze kwenye uzalendo huku wenzako wanaiba si utakuwa mjinga aseeHali ya usalama Afrika mashariki na kati si nzuri sana..Uwekezaji ktk majeshi yetu ni jambo lisiloepukika kwa kuzingatia utajiri mkubwa wa rasilimali na chokochoko za maadui..
Though bado yatupasa kuwekeza sana kwenye uzalendo wa watu wetu na mifumo thabiti ya ulinzi tokea mitaa,Vijiji,Vitongoji,kata hata tarafa..
Kwamba wanajeshi hawana huo wizi wa kutisha ?Kwa nini isiwezekane?
Nadhani tunahitaji politics yenye viwango vya juu vya nidhamu na utii..
Hili litaepusha Rushwa,wizi,ufisadi,Ukwapuaji Mali za Umma,Matumizi mabaya ya madaraka (Ulafi na kuvimbiwa ).
Imekuuma eeeNi jeshi la wananchi au jeshi la waislamu?rubbish
Ninapo zungumzia politics nazungumzia vyeo vya kugombea kupigiwa kura. Once ukienda down that road basi everything about you become siasaKwani hawapo ?
Uko kwenye ukuu wa mikoa, wilaya na bodi mbalimbali wanafanya nini ?
Kwenye siasa kuna vyeo vya kuteuliwa na kugombea sio kila cheo cha siasa ni kugombea.Ninapo zungumzia politics nazungumzia vyeo vya kugombea kupigiwa kura. Once ukienda down that road basi everything about you become siasa
Umemuona kikwete tu? Late lowassa was TPDF soldier na sio hao tu tuna mawaziri pia, some of them walisha tangulia mbele ya haki. Hawa walitolewa kitengo cha siasa jeshini 70s to 80s lilikuwepo. Kazi yake kubwa ilikuwa ni siasa. Unfornately sikuizi hakipo tena na jeshi likawekwa mbali na politcs kisheriaKwenye siasa kuna vyeo vya kuteuliwa na kugombea sio kila cheo cha siasa ni kugombea.
By the way kikwete ni JWTZ member