Utambulisho wa Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Bungeni wakati wa Uwasilishwaji wa Bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Ulinzi na JKT

Utambulisho wa Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JKT Bungeni wakati wa Uwasilishwaji wa Bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 ya Wizara ya Ulinzi na JKT

Rc na ukuu wa wilaya si vyeo vya kisiasa. Vile havi require uwe mwanasiasa kuteuliwa.
Ni vile watu wamezoea kuwa wengi wanaopewa hizo nafasi ni wana siasa
Aiseeh! Huu ni upumbavu sijui tuna jadiliana nini hapa
 
Umemuona kikwete tu? Late lowassa was TPDF soldier na sio hao tu tuna mawaziri pia, some of them walisha tangulia mbele ya haki. Hawa walitolewa kitengo cha siasa jeshini 70s to 80s lilikuwepo. Kazi yake kubwa ilikuwa ni siasa. Unfornately sikuizi hakipo tena na jeshi likawekwa mbali na politcs kisheria
By the time mimi natumikia , sheria zilibadilika, lazima uachane na jeshi moja kwa moja ndio ukagombee

Teuzi zimekuja kipindi cha jpm. Although zina limitation, sana sana rc au ukuu wa wiliaya, lakini ubunge nope na bado alikuwa akivunja sheria.
Rc na ukuu wa wilaya si vyeo vya kisiasa. Vile havi require uwe mwanasiasa kuteuliwa.
Ni vile watu wamezoea kuwa wengi wanaopewa hizo nafasi ni wana siasa
Sio kweli fanya utafiti,toka enzi za jk haya mambo ya kuteua wanajeshi yalikuwepo,jpm alikuja kuongeza polisi tu.
 
Kwa nini isiwezekane?
Nadhani tunahitaji politics yenye viwango vya juu vya nidhamu na utii..

Hili litaepusha Rushwa,wizi,ufisadi,Ukwapuaji Mali za Umma,Matumizi mabaya ya madaraka (Ulafi na kuvimbiwa ).
Kikwete, Lowassa Kinana, Makamba sr walitokea jeshini pia.
 
Kikwete, Lowassa Kinana, Makamba sr walitokea jeshini pia.

Bila kusahau Hayati Brigedia Jenerali Hassan Ngwilizi,Mstaafu Kapteni Chiligati,Hayati Brigedia Jenerali Moses Mnauye,Mstaafu Simbakalia,Mstaafu Fabian Massawe,..Na wengine wengi
 
Uwekekeze kwenye uzalendo huku wenzako wanaiba si utakuwa mjinga asee

Wizi na ufisadi uzaa laana nzito kwa vizazi na vizazi ni sawa na dhuluma

Sababu ya ufisadi wa wakosa uzalendo umaskini umetamalaki,Watu wanakosa matibabu,Ajira,Malipo stahiki,Wakina mama wanakufa wanapojifungua kwa kukosa huduma bora (Serikali imejitahidi sana kuboresha huduma)..
 
Wizi na ufisadi uzaa laana nzito kwa vizazi na vizazi ni sawa na dhuluma

Sababu ya ufisadi wa wakosa uzalendo umaskini umetamalaki,Watu wanakosa matibabu,Ajira,Malipo stahiki,Wakina mama wanakufa wanapojifungua kwa kukosa huduma bora (Serikali imejitahidi sana kuboresha huduma)..
Tabia za CCM mkuu
 
Back
Top Bottom