Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Kwasababu ni watu wa kusoma vifungu na sheria tu muda wote
 
Ni ignoble kwa maana ya kwamba zinaweza kuvamia na mtu yeyote. Huwezi kuingia theatre ukafanya surgery kama daktari.

Lakini nimeona mtu kasoma IFM mambo ya finance halafu anakuwa Human resource officer!

Sasa kama si kujidharau nyinyi wenyewe na fani zenu mnataka nani awaheshimu.
Kozi nyingine hata major ikiwa ni uhasibu au fedha, wanasoma pia masuala ya sheria (business law), masoko (marketing), uchumi (economics), utawala (business administration) n.k., sasa kufanya human resources dept ina mfanya mhusika awe hajasoma au anajidharau?
 
Siku hizi naona na wenye CPA hasa wa Tz, nao wanaanza kasumba kama za wanasheria, kabla ya jina mtu anaanza CPA, wakati kiweledi, huanza jina la mhusika halafu baada ya jina kwenye mabano unaweza kuweka CPA, acca, PhD na vikorombwezo vinginevyo.
Kwa mtazamo wangu, nahisi ni kutojiamini kulikochagizwa na Magufuli kuteua watu walio na slimy isiyo pungufu ya master's, basi kila mtu lazima ajitutumue, huyu mhandisi, huyu CPA huyu wakili msomi ili waonekane kuwa ni wasomi, ikija utendaji, ni ubabaishaji kwenda mbele.
 
Hamjambo?

Siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia sana neno hili 'Wakili Msomi', mwenye kujua tafsiri yake naomba msaada tafadhali. Ina maana kuna wakili asiye msomi? au...?
 
Hamjambo?

Siku za hivi karibuni nimekuwa nikisikia sana neno hili 'Wakili Msomi', mwenye kujua tafsiri yake naomba msaada tafadhali. Ina maana kuna wakili asiye msomi? au...?
Soma reply za hii thread jibu lishatolewa
 
unaitwa wakili msomi kwasababu ya kujua na kutambua kila jamab kiundani. baada ya mtu kuapishwa na kuwa kamishna wa viapo na kwa maana hiyo anakuwa ni mtu mwenye uwezo wa kukuapisha kwenye jambo lolote pale unapohitaji kiapo. na ndiyo maana baad ya kupata degree ya kwanza ya sheria mtu unaitwa mwanasheria ila baada ya kupata postgraduate diplpoma in legal practise unaitwa wakili msomi. ni kama kwenye uhasibu au uhandisi baada ya kumaliza degree ya kwanza mtu anaitwa mwasibu au mhandisi ila mpaka uwe auditor au mhandisi majengo kuna course lazima uende for registration purpose!!!!!!!!! ndiyo maana ya wakili msomi yaani mtu ambaye anjua na kufahamu kila kitu
Kwa hio Bachelor ys IT hesabu,physics,cs sio wasomi.
Mawakili wanatambua kila jambo kiundani ni kweli?
 
Back
Top Bottom