Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Kaka mada yangu iko wazi,nawazungumzia mawakala wa sheria,tena sheria za ki sekula (secular).

Hao wa misitu na hao wengine hapa hawahusiki. Kwahiyo jikite katika kile kilichokusudiwa na mada.
Tofauti ndio hiyo niliyokueleza kwanini hawa wanajiita wakili msomi!!ni kwamba amesomea sheria na kufauru!!au labda kwako neno wakili unalielewa vipi?kwani sio kila mwanasheria ni wakili msomi,ila kila wakili msomi ni mwanasheria.
 
Unahitaji vipimo gani?

Shahada ya sheria ina mkusanyiko wa taaluma za nyanja zote za maisha. NAMAANISHA NYANJA ZOTE ZA MAISHA. ZOTE KABISA.

Kwanini wasiwe wasomi sasa!!


Vipimo ulivyo tumia kusema ya kuwa mwenye shahada ya sheria ni sawa na yule mwenye Pa proffesion nyingine.

Kwahiyo hao wengine sio wasomi sio ?

Unajua mimi sijakataa kama sio wasomi,nina jua kabisa wao ni wasomi katika fani yao ya sheria wala si wasomi katika fani nyingine.

Tatizo ni sababu zipi zinafanya wao wajitambulishe kwa "Wakili Msomi" ?
 
Vipimo ulivyo tumia kusema ya kuwa mwenye shahada ya sheria ni sawa na yule mwenye Pa proffesion nyingine.

Kwahiyo hao wengine sio wasomi sio ?

Unajua mimi sijakataa kama sio wasomi,nina jua kabisa wao ni wasomi katika fani yao ya sheria wala si wasomi katika fani nyingine.

Tatizo ni sababu zipi zinafanya wao wajitambulishe kwa "Wakili Msomi" ?
Ulitaka wasijiite wasomi?

Wao ni wasomi ndio maana wanajiita wasomi.

Ni kipi ambacho wanakosea?
 
Tofauti ndio hiyo niliyokueleza kwanini hawa wanajiita wakili msomi!!ni kwamba amesomea sheria na kufauru!!au labda kwako neno wakili unalielewa vipi?kwani sio kila mwanasheria ni wakili msomi,ila kila wakili msomi ni mwanasheria.

Wakili ni wakala wa sheria. Hata hivyo tamko hili "Wakili" linatakiwa kudurusiwa upya..!
 
Ulitaka wasijiite wasomi?

Wao ni wasomi ndio maana wanajiita wasomi.

Ni kipi ambacho wanakosea?


Huko siko,tatizo wanakwenda kinyume na mjengeko wa lugja na mtiririko wa maana.

Hapa naona utakuwa umenielewa.
 
Wakili ni wakala wa sheria. Hata hivyo tamko hili "Wakili" linatakiwa kudurusiwa upya..![/QUOTE
Wakili ni wakala wa sheria. Hata hivyo tamko hili "Wakili" linatakiwa kudurusiwa upya..!
kwa kukusaidia hebu tafuta huu uzi humu kwani ulishajadiliwa sana huko nyuma!!na muafaka ukapatikana,mimi ligi za hivyo siziwezi mkuu!!
 
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka tabia ya baadhi yetu kuwaita mawakili wengi kama "Wakili Msomi Tundu Lissu" ama Wakili Msomi Albert Msando Wakili Msomi Petro Msaliwa. Swali langu kwa wote wenye ufahamu tunalitumia vizuri ama tumeamua tu kulifasiri kutoka LEARNED LAWYER kwenda kiswahili WAKILI MSOMI


Maoni yenu bajemeni.

=======

Linatumka vizuri kabisa, kimsingi hilo neno linatumika kwa wanataaluma kwenye kada ya sheria, awe jaji ataitwa jaji msomi yaani learned judge, awe wakili basi ataitwa learned counsel/ advocate, awe mwanasheria naye ataitwa learned lawyer.
 
Screenshot_20191203-121440.jpeg
 
Linatumka vizuri kabisa, kimsingi hilo neno linatumika kwa wanataaluma kwenye kada ya sheria, awe jaji ataitwa jaji msomi yaani learned judge, awe wakili basi ataitwa learned counsel/ advocate, awe mwanasheria naye ataitwa learned lawyer.
 
BISECKO,
Umelifafanua vizuri. Swali langu ni kwamba tusio katika hiyo tasnia tulitumia vizuri ama tumetafsiri tu pale wanataaluma wanapoitana kwenye taaluma zao.
 
Swali ni, kuna judge, lawyer. advocate ambaye si msomi? Acheni mbwembwe!
Hizo ni mbwembwe za Watanzania hasa wafuasi wa vyama vyetu vya siasa wa kuwaita mawakili wasomi bila kujua maana ya hilo neno ndiyo maàna nimeleta hii thread tujadili na tuache matumizi ya neno wakili msomi sababu halina maana yoyote kutumika nje ya mahakama. Hata hawa mawakili wetu humu wanajua
 
Tukisema doctor msomi,bwana mifugo msomi,dereva msomi,mwalimu msomi,engineer msomi,afisa mtendaji msomi,weo msomi,nesi msomi .tutafika kweli?
Ifike mahali tusema ni wakili ikifuatiwe na majina yake hayo mambo ya kusoma na usomi tutayajua kupitia either kushinda au kushindwa kesi
 
Mkuu ndio wanajisikia raha wakiitwa wasomi ni moja ya kada zinazopenda kutukuzwa(mf.mtukufu jaji,mtukufu hakimu,n.k).
 
Mdau wakili msomi ni neno lenye maana kwa wanasheria,halisemwi tu kwa maana ya kujivunia kada au kama sifa,ukilitumia bila kujua maana yake basi utapata mtazamo wako!!
Kwa ufupi neno wakili msomi lilitokana na sheria kuonekana kama kada mtambuko,,endelea kutafuta maana zaidi ya hapo.
Tukisema doctor msomi,bwana mifugo msomi,dereva msomi,mwalimu msomi,engineer msomi,afisa mtendaji msomi,weo msomi,nesi msomi .tutafika kweli?
Ifike mahali tusema ni wakili ikifuatiwe na majina yake hayo mambo ya kusoma na usomi tutayajua kupitia either kushinda au kushindwa kesi
 
Habarini za Jioni wadau

Naomba kujuzwa tafsiri ya matumizi ya neno wakili msomi. Ivi kwani kuna wakili MBUMBUU au ZWAZWAA ?

Embu watalam wa mambo leteni taarifa sahihi
 
Ni jitihada zilezile za Wabongo kushadadia ujuaji na ushamba; sidhani kama baada ya ileee Machi tarehe 17 kuna msomi mwingine aliyesalia hapa kwenye Bongo.
 
Back
Top Bottom