Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana. Naomba nikupe kwa ufupi tu. Uanasheria ni kada za kitaaluma kama ualimu, udaktari, uhandisi (wa aina aina), uaskari, siasa nk.Hivi kwanini kila wakili siku hizi anaitwa wakili msomi? Utasikiaa ooh wakili msomi Jebra Kambona, mara wakili msomi Fatma Shomari. Hii ina maana gani hasa katika nchi ya watu wazima kama yetu? Si aina ya insanity hii?
Hata kwenye idara ya misitu na mazingira kuna mawakili,ukisikia wakili MSOMI ni yule aliyekwenda shule na kusomea sheria hasahasa!!kwani sio kila wakili awe amesomea sheria una kuta mtu mfano ni mwana mazingira hivyo anatetea hasa ubaribifu wa mazingira huyo ni wakili wa mazingira japo hana elimu ya sheria!!ila ukisikia wakili msomi sio kwamba anajisifia bali ni haki yake kuitwa hivyo amepiga chuo kikuu na kumalizia shule ya sheria,ila zamani kulikuwa na board ambayo ndio walikuwa wanafanya mitihani yake na kupewa uwakili kabla ya shule ya sheria haijaanza!!mitihani hii ya board ilikuwa kuishinda ni kama kupata uraia wa USA!!!Sina kipya cha kuelezea sana zaidi ya kujiulisha juu ya utambulisho huu kwa hawa mawakili.
Je wamejiita hivyo au kujitambulisha hivyo kuonyesha umaalumu wa uwakala wao ?
Au
Hawajiamini ?
Au
Wanajifaragua au ?
Au
Kujitambulisha kwa tamko "Wakili" hakutoshi ?
Au
Katika elimu ya sheria kuna kipya gani tofatuti na elimu nyingine ?
Msaada tafadhali.
Kasome sheria ndio utajua maana yake
Hata kwenye idara ya misitu na mazingira kuna mawakili,ukisikia wakili MSOMI ni yule aliyekwenda shule na kusomea sheria hasahasa!!kwani sio kila wakili awe amesomea sheria una kuta mtu mfano ni mwana mazingira hivyo anatetea hasa ubaribifu wa mazingira huyo ni wakili wa mazingira japo hana elimu ya sheria!!ila ukisikia wakili msomi sio kwamba anajisifia bali ni haki yake kuitwa hivyo amepiga chuo kikuu na kumalizia shule ya sheria,ila zamani kulikuwa na board ambayo ndio walikuwa wanafanya mitihani yake na kupewa uwakili kabla ya shule ya sheria haijaanza!!mitihani hii ya board ilikuwa kuishinda ni kama kupata uraia wa USA!!!
Ni kweli, mawakili wana haki ya kuitwa wasomi.
Ni watu wanaosoma kila nyanja ya maisha kuanzia sheria za uhalifu, sheria za ardhi, sheria za mazingira, sheria za haki za binadamu, sheria za biashara, sheria za maliasili, sheria za mitandao, sheria za kimataifa, sheria za habari...nk.
Hakuna nyanja ya maisha ambayo wakili haijaisoma.
Ukiwa na shahada ya sheria, ni sawa na kuwa na PhD ya proffesion zote zingine.
Hapana, sijamaanisha wana technical knowledge ya fani husika, isipokuwa wanasoma madodoso yote ya kisheria kuhusu fani zingine zote na nyanja zote za maisha.Kaka nakupa faida ukisema wamesoma kila nyanja una maanisha nini ?
Je wamezisoma nyanja hizo kama fani au kama fani yao inavyoelekeza katika kutoa hukumu ?
Ukisema kama fani wewe utakua muongo hata kupigiwa mfano hufai.
Ni kweli, mawakili wana haki ya kuitwa wasomi.
Ni watu wanaosoma kila nyanja ya maisha kuanzia sheria za uhalifu, sheria za ardhi, sheria za mazingira, sheria za haki za binadamu, sheria za biashara, sheria za maliasili, sheria za mitandao, sheria za kimataifa, sheria za habari...nk.
Hakuna nyanja ya maisha ambayo wakili haijaisoma.
Ukiwa na shahada ya sheria, ni sawa na kuwa na PhD ya proffesion zote zingine.
Hapana, sijamaanisha wana technical knowledge ya fani husika, isipokuwa wanasoma madodoso yote ya kisheria kuhusu fani zingine zote na nyanja zote za maisha.
SHAHADA ya sheria ni sawa na PhD mia mbili za fani zingine.
Usomi ni usomi kweli kweli sio jina tu.
Hauwezi kunielewa kama wewe hukuwahi kuingia shule ya sheria.
Unahitaji vipimo gani?Kaka unasema "ukiwa na shahada ya sheria ni sawa na kuwa na PhD ya proffesion nyingine"
Kaka sio kila unaloweza kuliandika au kuliongea uliandike au uliseme. Lazima uwe na vipimo mzee.
Unaelewa nini kuhusu neno "MSOMI"?Sasa kama ni wadodosaji huwezi kusema wamesoma kila nyanja.
Embu toa sababu nyingine za mashiko za kuwafanya mawakala hawa wajiite au wajitambulishe kwa utambulisho wa "Wakili Msomi" ?