Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Wewe ni lawyer ila nina shaka kukariri historia kumekuchanganya

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Hujajibu swali, daraja likibomoka au ghorofa likidondoka na kuleta madhara ndani ya kipindi cha ujenzi nani hua ni wa kwanza kuwajibishwa?
 
Kuna mambo mengine inabidi mtu kwa hiari yake ajiongeze tu, unaingia google au search engine nyingine unatafuta maana ya hayo maneno na kwanini tamaduni hiyo inatumika kwenye hiyo tasnia ya Sheria. Vinginevyo naanza kuamini kuhusu udogo wa IQ zetu sisi waafrika.
 
Kuna mambo mengine inabidi mtu kwa hiari yake ajiongeze tu, unaingia google au search engine nyingine unatafuta maana ya hayo maneno na kwanini tamaduni hiyo inatumika kwenye hiyo tasnia ya Sheria. Vinginevyo naanza kuamini kuhusu udogo wa IQ zetu sisi waafrika.
Fact
 
Neno Wakili Msomi naona linaenea kwa kasi kubwa huwa sielewi lina maanisha nini linapotumika hasa hasa na Watangazaji wetu wa vyombo vya habari! nikijua kabisa huwezi kuwa wakili kama sio mwanasheria ambaye ni msomi.

Na kila fani kwa waliokwenda shule hasa level za chuo kikuu huwa ni wasomi.

Sasa kwanini wanaitwa Wakili Msomi je Kuna wakili asiye msomi au??

Mimi si mwanasheria!!
Uko sahihi mkuu. Tanzania ilishajiendea mtaroni tayari, kama siyo huyu mzee wa Kisukuma kuja kuilokota na kujaribu kuisimamisha. Nafahamu ataweza Inshallah maana hanaga kulemba. Watu walishajikatia tamaa sana mpaka wakawa wanasifu mpaka pumba. Watu wanaitwa mawakili wasomi kwa sababu tu wanatukana hovyo. Hivi kama hao wanaoitwa wasomi wangekuwa na PHD za sheria kama walivyo kina Tulia, Palamagamba na Mwakyembe wangeitwaje? Wanajiita wasomi kwa sababu tu mfumo wa nchi ulicorrupt huko nyuma so wakili akimhonga judge na kushinda kesi tayari ni msomi kishinda wengine. Hivi kweli kuna wakili asie msomi? Uko sahihi na hilo swali lako mkuu.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Uko sahihi mkuu. Tanzania ilishajiendea mtaroni tayari, kama siyo huyu mzee wa Kisukuma kuja kuilokota na kujaribu kuisimamisha. Nafahamu ataweza Inshallah maana hanaga kulemba. Watu walishajikatia tamaa sana mpaka wakawa wanasifu mpaka pumba. Watu wanaitwa mawakili wasomi kwa sababu tu wanatukana hovyo. Hivi kama hao wanaoitwa wasomi wangekuwa na PHD za sheria kama walivyo kina Tulia, Palamagamba na Mwakyembe wangeitwaje? Wanajiita wasomi kwa sababu tu mfumo wa nchi ulicorrupt huko nyuma so wakili akimhonga judge na kushinda kesi tayari ni msomi kishinda wengine. Hivi kweli kuna wakili asie msomi? Uko sahihi na hilo swali lako mkuu.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Kibatala au Tundu Lissu naye ni wakili msomi
 
Kuna mambo mengine inabidi mtu kwa hiari yake ajiongeze tu, unaingia google au search engine nyingine unatafuta maana ya hayo maneno na kwanini tamaduni hiyo inatumika kwenye hiyo tasnia ya Sheria. Vinginevyo naanza kuamini kuhusu udogo wa IQ zetu sisi waafrika.
JF msomi
 
Uko sahihi mkuu. Tanzania ilishajiendea mtaroni tayari, kama siyo huyu mzee wa Kisukuma kuja kuilokota na kujaribu kuisimamisha. Nafahamu ataweza Inshallah maana hanaga kulemba. Watu walishajikatia tamaa sana mpaka wakawa wanasifu mpaka pumba. Watu wanaitwa mawakili wasomi kwa sababu tu wanatukana hovyo. Hivi kama hao wanaoitwa wasomi wangekuwa na PHD za sheria kama walivyo kina Tulia, Palamagamba na Mwakyembe wangeitwaje? Wanajiita wasomi kwa sababu tu mfumo wa nchi ulicorrupt huko nyuma so wakili akimhonga judge na kushinda kesi tayari ni msomi kishinda wengine. Hivi kweli kuna wakili asie msomi? Uko sahihi na hilo swali lako mkuu.

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Kazi kweli kweli
 
Mwanasheria hatumii elimu ya uhandisi hapo bwana baada ya daraja kuanguka.

Atatumia elimu ya sheria na makosa kusaidia mkandarasi asiingizwe ktk hatia.

Mwanasheria atakachokifanya hapo ni kuangalia je taratibu zilifuatwa na nani hakufanya wajibu wake.

Lakini eti mwanasheria kujua chemistry ya mortar kwa ratios si rahisi.
Lazima ithibitike mbele ya mwanasheria kwamba daraja hili limeporomoka kwa sababu 1, 2,3.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Lazima ithibitike mbele ya mwanasheria kwamba daraja hili limeporomoka kwa sababu 1, 2,3.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hiyo siyo sababu kuwa mwanasheria anajua chemistry.

Alichokifanya japo ni kurejea taratibu za namna ratio inavyotakiwa kuwa na je taratibu hizo zilifuatwa ama laa.
 
Niliwahi kusoma mahala, hii sio Tanzania tu, ni Dunia nzima kwa wanasheria kuitwa au kujiita wasomi au Learned brothers/sisters.

1. Mawakili wanapokua mahakami na wakawa wanabishana kwa hoja, wakili mmoja haweza kumpinga mwenzake kwa kumuita mjinga au mpumbavu, hapana anatakiwa hata kama hoja ya wakili wa upande wa pili ni ya kijinga, anatakiwa kusema wakili msomi mwenzangu hapo napingana na wewe hivi na hivi na sio kutumia maneno mabaya au majina mabaya katika kupinga hoja. Yani hutakiwi kumuonyesha mtu ni mjinga moja kwa moja, unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Kwamba kama mtu ni mjinga usimwambie wewe ni mjinga, mwambie tu brother uwezo wako wa kukubali mambo unashuka ndugu yangu(your level of appriciating things is diminishing)

2. Mawakili au wanasheria wanafundishwa kumshitaki au kumtetea yoyote kutoka katika taaluma yoyote ile, iwe unatoka uhasibu, sheria, uchumi, uinjinia, sayansi, udaktari, wizi, ujambazi, ulawiti, ubakaji, urubani, fani zote.

Hivyo wanajiona kua wanajua mambo karibu yote kama sio yote kwa ujumla yaliyo chini ya jua. Ndio maana huwezi kupeleka kesi mahakamani ya udaktari hakimu akakuambia kua bwana sisi sio madaktari hivyo hiyo kesi haitasikilizwa, hapana , wataipokea na kuisikiliza hadi mwisho na hukumu itatolewa utafikiri wao wanajua udaktari.

Kwa mantiki hiyo wanasheria toka zamani wamekua wakiona fani nyingine kama fani za kiwango cha chini na kijiona wao ni bora na ni wasomi kuliko wengine.
wewe wasema.
 
Nijuavyo tangu zama za kale ya ustaarabu huko Ulaya na Marekani Wanasheria huitwa kwa Utani THE LEARNED BROTHERS/SISTERS. Hii imechangiwa pia na nguvu na mbwembwe anazokuwa nazo Hakimu au Wakili pale mahakamani.

Dhana hii ya learned ndiyo miaka ya karibuni imetoholewa na kuwa WAKILI MSOMI.


kale ipi hiyo mkuu? hapo mangwini ndio mnaniacha hoi
 
Hata madaktari wanatibu mtu yeyote yule uwe engineer, lawyer, mwizi, Rais, mbakaji nk kwanini hawaitwi Daktari msomi


ata wahandisi wanawasaidia lawyers,doctors,wahasibu,walimu na watu wengine kwanini wasiitwe wahandisi wasomi
 
Neno Wakili Msomi naona linaenea kwa kasi kubwa huwa sielewi lina maanisha nini linapotumika hasa hasa na Watangazaji wetu wa vyombo vya habari! nikijua kabisa huwezi kuwa wakili kama sio mwanasheria ambaye ni msomi.

Na kila fani kwa waliokwenda shule hasa level za chuo kikuu huwa ni wasomi.

Sasa kwanini wanaitwa Wakili Msomi je Kuna wakili asiye msomi au??

Mimi si mwanasheria!!
Sio linaenea siku hizi, ni kwamba wewe ndio umeanza kusikia siku hizi baada ya teknolojia ya habari kukua. Lakini tangu dahari members WOTE wa legal profession hutambuana kama wasomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom