Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

unaitwa wakili msomi kwasababu ya kujua na kutambua kila jamab kiundani. baada ya mtu kuapishwa na kuwa kamishna wa viapo na kwa maana hiyo anakuwa ni mtu mwenye uwezo wa kukuapisha kwenye jambo lolote pale unapohitaji kiapo. na ndiyo maana baad ya kupata degree ya kwanza ya sheria mtu unaitwa mwanasheria ila baada ya kupata postgraduate diplpoma in legal practise unaitwa wakili msomi. ni kama kwenye uhasibu au uhandisi baada ya kumaliza degree ya kwanza mtu anaitwa mwasibu au mhandisi ila mpaka uwe auditor au mhandisi majengo kuna course lazima uende for registration purpose!!!!!!!!! ndiyo maana ya wakili msomi yaani mtu ambaye anjua na kufahamu kila kitu

Duuu sasa hizo kesi kwanini wanashindwa japo wanajua kila kitu ?
 
Sunny days wouldn't be special if it wasn't for rain,joy wouldn't be feel so good if it wasn't for the pain na pia hao mawakili wasomi wasingekuwepo kama hakuna mawakili makanjanja(vilaza).
 
Kwa nini Wakili msomi:zamani huko ulaya watu walipata uwakili kutokana na uzoefu wa kufanya kazi katika ofisi za mawakili,hivyo basi kuwatofautisha waliosomea hiyo fani na waliojuwa hiyo fani kutokana na uzoefu wa kufanya kazi ktk ofisi za sheria ndio wakatumia neno msomi kwa wale waliosomea.
 
Kwa nini Wakili msomi:zamani huko ulaya watu walipata uwakili kutokana na uzoefu wa kufanya kazi katika ofisi za mawakili,hivyo basi kuwatofautisha waliosomea hiyo fani na waliojuwa hiyo fani kutokana na uzoefu wa kufanya kazi ktk ofisi za sheria ndio wakatumia neno msomi kwa wale waliosomea.

OLDONYO SAMBU MI ni digodigo habari ya ww
 
nimeona mara nyingi maadvocate walio masinia wanawaita majunia kuwawakili msomi kwa kiingeleza ni learned consel na hvo ni utamaduni kwa mawakili tu kujiita hvo kama walivo na ethcs zao.
 
Kwa hiyo fani zingine zenyewe hazina michujo? Watu wanapita na kupitishwa tu na hivyo hawastahili kuitwa wasomi?

Ni tatizo kweny ehizo fani. Umeshaambiwa kwamba kuna noble proffessions kama laws, medicine, engineering ambazo ziko legally regulated. Huwezi ufanya udaktari bila kupata registration hata kama chuoni ulikuwa genious kuliko wenzako wote.

Sasa proffessions zingine zina matatizo yake na zinaleta madhara. Mfano wa proffession inayotakiwa kuwa regulated sasa hivi ni HUman Resource. Unakuta kuna watu wana degree ya Human resource, hawa hawatakiwi kufanya makosa humu makazini.

lakini ushahidi ni mwingi kwamba HUman Resource imevamiwa kiasi kwamba unakuta mtu ana Qualification ya Finance anafaa kwenye Finance Dpertment lakini anawekwa kuwa kwenye Dpertment ya HUman Resource!

Mtokeo yake ni kampuni kutandikwa kila mara na labour litigations.
 
Ili usajiliwe kuwa Engineer “Registered Engineer” lazima uende course gani?

Na umesema ukienda hiyo course ndo unakuwa “Mhandisi Majengo”,so hata electrical au mechanical Engineer nae ataitwa Mhandisi majengo?
Naomba ufafanuzi,unless tengua kauli

Unatakia uwe Registered na Engineering Registration Board (www.erb.go.tz)
 
Ni tatizo kweny ehizo fani. Umeshaambiwa kwamba kuna noble proffessions kama laws, medicine, engineering ambazo ziko legally regulated. Huwezi ufanya udaktari bila kupata registration hata kama chuoni ulikuwa genious kuliko wenzako wote.

Kwa hiyo professions zingine ni ignoble?

That kind of hubris is nauseating.
 
Kwa hiyo professions zingine ni ignoble?

That kind of hubris is nauseating.

Ni ignoble kwa maana ya kwamba zinaweza kuvamia na mtu yeyote. Huwezi kuingia theatre ukafanya surgery kama daktari.

Lakini nimeona mtu kasoma IFM mambo ya finance halafu anakuwa Human resource officer!

Sasa kama si kujidharau nyinyi wenyewe na fani zenu mnataka nani awaheshimu.
 
Ni ignoble kwa maana ya kwamba zinaweza kuvamia na mtu yeyote. Huwezi kuingia theatre ukafanya surgery kama daktari.

Lakini nimeona mtu kasoma IFM mambo ya finance halafu anakuwa Human resource officer!

Sasa kama si kujidharau nyinyi wenyewe na fani zenu mnataka nani awaheshimu.

Sikubaliani kabisa na premise yako kwamba professions zingine ni 'ignoble' kwa sababu zinaweza kuvamiwa na mtu yeyote.

Hakuna uspesho wowote ule mtu kuwa wakili.
 
Sikubaliani kabisa na premise yako kwamba professions zingine ni 'ignoble' kwa sababu zinaweza kuvamiwa na mtu yeyote.

Hakuna uspesho wowote ule mtu kuwa wakili.

Kama hukubali na terminology iliingia duniani ikakubalika basi tatizo linakuwa kwako ambaye hujaleta in public sababu zako za kutokubali hadi dunia ikukubalie sababu zako unazozisemea uchochoroni.
 
Kama hukubali na terminology iliingia duniani ikakubalika basi tatizo linakuwa kwako ambaye hujaleta in public sababu zako za kutokubali hadi dunia ikukubalie sababu zako unazozisemea uchochoroni.

Unajua kusoma na kuelewa wewe?

Hebu rudi tena usome vizuri nilichokiandika kuhusu ambacho sikubaliani na wewe.

Na usisome kwa papara wala jazba.

Soma kwa utulivu na soma taratibu.

Ukishindwa kuelewa rudi uulize hicho ambacho hujaelewa nami nitakuelewesha zaidi.

Sawa?
 
Jamani nna swali, je jeshi la wananchi tanzania lina wanasheria wake kwaaji ya martial Court au ina kuaje, plus requirements kujiunga ni zipi na mshahara au allowances jumla zina amount to sh.ngapi
 
Hapo nyuma enzi za kings and queens in england, advisor or council walikua referred to as kings council au queen's council, ila sehemu nyingine walikua refered as senior council... kwaiyo on royal envoys walikua refered as learned council as in learned in law council. Ilo jina over time likawa applied kumaanisha learn legal council as washauri wa mfalme wa maswala ya sheria. Na ndo mpaka sasa learned council au wakili msomi iki maanisha wakili msomi katika sheria

Atleast that's what i believe, am my words aint the gospel. So pls research
 
Jamani nna swali, je jeshi la wananchi tanzania lina wanasheria wake kwaaji ya martial Court au ina kuaje, plus requirements kujiunga ni zipi na mshahara au allowances jumla zina amount to sh.ngapi

Ni court-martial.
 
Wakili "msomi" ni mbwembwe tu hakuna cha ziada
Kwasababu hakuna wakili asiyesoma level za kuwa wakili
 
Back
Top Bottom