Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

Hata Mimi huwa sielewi kwa nini wakili msomi, kwani kuna mawakili ambayo sio wasomi? Na huko kwa wenzetu huwa wanajiita hivyo wakili msomi?
sioni kama kuna usomi wowote zaidi ya proffession nyingine.
Abraham Linkoln alitokea kijijini akajisomea mwenyewe sheria nyumbani miaka mitatu akawa wakili mzuri tu. Ila wa kwetu hadi kesho huwa sielewi ni usomi gani wanauzungumzia.
 
najaribu kuwaza, nini kiliwapelekea wanasheria/mawakili kujiita "wakili msomi" huku wasomi wa taaluma nyingine huwa hawana kasumba hii.

kwa mtazamo wangu Engineers,Madoctor,Waalimu ndio walipaswa kujiita wasomi. Maana mwanadamu yoyote anaweza kujiwekea sheria. Naamini hata wakina mkwawa walikuwa na sheria zilizokuwa hazihitaji ubobezi wowote.

mtazamo tu
Kwel mkuu sijui Ndo huwa wanajipa kiki na fani zao za kidwanzi na mikelele mingi,
 
Wasalaamu wana bodi
Nimekuwa nikitatizwa na hile neno wakili msomi hasa humu jf mfano
wakili msomi kibatala
wakili msomi TL N.k
je hili neno msomi linatumika kwa mawakili tu?
Mbona sijawahi kusikia ...
mwandisi msomi??
daktari msomi??
mwalimu msomi ???
rubani msomi ...n.k??

Najua mpo humu mawakili wasomi nipeni jibu tafadhari
Usiku mwema niko benchi nasubr wajuvi waje
 
Kila siku utasikia tu ' Watangazaji ' wa Vyombo vya Habari mbalimbali na hata Watu wengine wakisema ' Kesi hii itasimamiwa au inasimamiwa na Wakili Msomi ...... ' na sasa imekuwa ni lugha inayozoeleka katika masikio yetu Sisi ' Bush Lawyers '

Naomba kuuliza je ina maana kumbe kuna Wakili Msomi na Wakili asiyesoma? Nini kinafanya mmoja kuitwa Wakili Msomi? Mfano utasikia Wakili Msomi Revocatus Kuuli au Wakili Msome George Msemwa. Sasa kama Wote wamesoma LLB au LLM na pengine hata ' Kufaulu ' kila kitu kwanini wengine waitwe Mawakili Wasomi na wengine hawaitwi hivyo?

Wanasheria mliojazana humu JF tafadhalini hebu mtusaidie katika hili kiukweli ' mnatuchanganya '.

Nawasilisha.
 
Kila siku utasikia tu ' Watangazaji ' wa Vyombo vya Habari mbalimbali na hata Watu wengine wakisema ' Kesi hii itasimamiwa au inasimamiwa na Wakili Msomi ...... ' na sasa imekuwa ni lugha inayozoeleka katika masikio yetu Sisi ' Bush Lawyers '

Naomba kuuliza je ina maana kumbe kuna Wakili Msomi na Wakili asiyesoma? Nini kinafanya mmoja kuitwa Wakili Msomi? Mfano utasikia Wakili Msomi Revocatus Kuuli au Wakili Msome George Msemwa. Sasa kama Wote wamesoma LLB au LLM na pengine hata ' Kufaulu ' kila kitu kwanini wengine waitwe Mawakili Wasomi na wengine hawaitwi hivyo?

Wanasheria mliojazana humu JF tafadhalini hebu mtusaidie katika hili kiukweli ' mnatuchanganya '.

Nawasilisha.
Ndugu, mawakili wote ni wasomi. Hakuna wakili ambae sio msomi. Vilevile hata wanasheria wa serikali, mahakimu na majaji ni wasomi pia.
 
Kila siku utasikia tu ' Watangazaji ' wa Vyombo vya Habari mbalimbali na hata Watu wengine wakisema ' Kesi hii itasimamiwa au inasimamiwa na Wakili Msomi ...... ' na sasa imekuwa ni lugha inayozoeleka katika masikio yetu Sisi ' Bush Lawyers '

Naomba kuuliza je ina maana kumbe kuna Wakili Msomi na Wakili asiyesoma? Nini kinafanya mmoja kuitwa Wakili Msomi? Mfano utasikia Wakili Msomi Revocatus Kuuli au Wakili Msome George Msemwa. Sasa kama Wote wamesoma LLB au LLM na pengine hata ' Kufaulu ' kila kitu kwanini wengine waitwe Mawakili Wasomi na wengine hawaitwi hivyo?

Wanasheria mliojazana humu JF tafadhalini hebu mtusaidie katika hili kiukweli ' mnatuchanganya '.

Nawasilisha.
Ndugu, mawakili wote ni wasomi. Hakuna wakili ambae sio msomi. Vilevile hata wanasheria wa serikali, mahakimu na majaji ni wasomi pia.
 
Mwanasheria yeyote na siyo wakili tu, wanaitwa kaka na dada waliosoma(learned brothers & sistets). Hiyo licha ya kuwa ni swaga yao, ina chimbuko na historia yake. Na kwa kazi yao ya kutetea haki, imechangia pakubwa kupewa heshima lukuki kote duniani.
 
Usistaajabu kuna Msanii msomi JUX...Malaya msomi GIGY....Shoga Msomi KAOGE na JAMES DELICIOUS
 
mi huwa naonaga nu mbwembwe tu
kwani kwa lugha au tamaduni ya ki ingereza au kifaransa kuna neno lolote linalo imply wakili msomi?
na hisi ni wabongo tu kupenda ku extend mambo
 
Sometimes ni mbwembwe tu hiyo inakuwa kuonesha ubobezi
 
mi huwa naonaga nu mbwembwe tu
kwani kwa lugha au tamaduni ya ki ingereza au kifaransa kuna neno lolote linalo imply wakili msomi?
na hisi ni wabongo tu kupenda ku extend mambo
Kiingereza wanajiita "learned brothers & sisters"
 
Hamna mawakili wote ni wasomi yani (learned) hiyo inachangiwa na historical background ya hii fani ya sheria.... Ukiongeze Kuwa ndo watetzi Wa binadamu yyte kwenye haki
 
Back
Top Bottom