Ntaganda boy
Member
- Jan 16, 2016
- 90
- 59
learned brother
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili neno wakili msomi hata mim nilikua nataka kulijua kinaga ubaga maana hasa mtangazaj maulid kitenge hulitumiaNeno Wakili Msomi naona linaenea kwa kasi kubwa huwa sielewi lina maanisha nini linapotumika hasa hasa na Watangazaji wetu wa vyombo vya habari! nikijua kabisa huwezi kuwa wakili kama sio mwanasheria ambaye ni msomi.
Na kila fani kwa waliokwenda shule hasa level za chuo kikuu huwa ni wasomi.
Sasa kwanini wanaitwa Wakili Msomi je Kuna wakili asiye msomi au??
Mimi si mwanasheria!!
Naona unatumia Tecno whatever chiefTeh naona Jf wameamua kutuumbua tunaotumia tecno halafu kwenye uzi wa tecno tunapondea kinyama..... Hiyo ndio tofauti ya usomi sijui umenielewa
"Sent from Tecno whatever "
[emoji2] [emoji2] Ndio ChiefNaona unatumia Tecno whatever chief
Eeeh ndo mambo yanavyokwenda kumbeTeh naona Jf wameamua kutuumbua tunaotumia tecno halafu kwenye uzi wa tecno tunapondea kinyama..... Hiyo ndio tofauti ya usomi sijui umenielewa
"Sent from Tecno whatever "
Kwa maana hiyo kama kuna watu wa taaluma nyingine kama watangazaji, wahasibu n.k. wanaofanya kazi hizo kutokana tu na uzoefu wao bila kusomea hao waitwe watangazaji na wahasibu. Wale waliosomea waitwe watangazaji wasomi na wahasibu wasomi?Kwa nini wanaitwa Wakili Msomi........
1:zamani kuna watu walikuwa mawakili bila ya kusomea sheria.
2:walikuwa wanafanya kazi ktk maofisi ya mawakili
3:kutokana na miaka mingi kufanya kazi ktk ofisi hizo walipata ujuzi wa uwakili na kuruhusiwa ku practise bila kusomea uwakili/sheria
4:hivyo basi neno learned friend au wakili msomi likaanza kutumika kwa wale tu waliokwenda kusomea fani hiyo.
5:ambao hawakwenda kusomea fani hiyo wakabakia kuitwa Wakili tu na wala siyo Un learned friend
Niko tayari kusahihishwa.
Kwa mfano jeshini Brigadier General...Major General....Luteni General....na General wote wanaitwa General ingawa wsnapishana ki vyeo.
Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Neno Wakili Msomi naona linaenea kwa kasi kubwa huwa sielewi lina maanisha nini linapotumika hasa hasa na Watangazaji wetu wa vyombo vya habari! nikijua kabisa huwezi kuwa wakili kama sio mwanasheria ambaye ni msomi.
Na kila fani kwa waliokwenda shule hasa level za chuo kikuu huwa ni wasomi.
Sasa kwanini wanaitwa Wakili Msomi je Kuna wakili asiye msomi au??
Mimi si mwanasheria!!
HAPANA NA WALA SIDHANI HIZO ZAMA WALIFANYA HIVYO.Kwa maana hiyo kama kuna watu wa taaluma nyingine kama watangazaji, wahasibu n.k. wanaofanya kazi hizo kutokana tu na uzoefu wao bila kusomea hao waitwe watangazaji na wahasibu. Wale waliosomea waitwe watangazaji wasomi na wahasibu wasomi?
Kwa upande wa mainjinia "wasomi" wao upenda kutambulishwa kwa kuanza na neno "Engineer" na kama ni kuandikwa jina upendelea iandikwe kwa kuanza na Eng. kisha jina lake linafuatia Japo kuna baadhi hawapendi sifa hizo.Kwahiyo wasomi wapo kwenye sheria tu? Hakuna wahasibu wasomi? Wanauchumi wasomi? Mainjinia wasomi? kwani msomi si mtu aliyesoma? kwanini wakili ndio wawe wasomi? ina maada kada nyingine sio wasomi(hawajasoma)?
Isijekuwa waasisi wa matumizi ya maneno hayo ya "wakili msomi" wakawa ni wafuasi au mashabiki wa wabunge wanasheria au mawakili hasa wale wanaokuwa wanatetea kwenye kesi zinazohusu vyama vya upinzani wa kisiasa kutokana na uzito wa hoja zao bungeni au mahakamani?Wakili msomi ni neno/kauli isiyo rasmi inayotumiwa na watu kwa utashi binafsi.
Ndio maana kuna watu uhususani wapinzani wanamuona Tundu Lisu ni wakili msomi lakini ukimwambia Olesendeka Lisu ni wakili msomi hawawezi kukuelewa kabisa.
HahahahahahaKama kuna wakili Msomi basi kuna wakili ambaye sio Msomi(Bush lawyer).
aseeh kumbeKwa nini wanaitwa Wakili Msomi........
1:zamani kuna watu walikuwa mawakili bila ya kusomea sheria.
2:walikuwa wanafanya kazi ktk maofisi ya mawakili
3:kutokana na miaka mingi kufanya kazi ktk ofisi hizo walipata ujuzi wa uwakili na kuruhusiwa ku practise bila kusomea uwakili/sheria
4:hivyo basi neno learned friend au wakili msomi likaanza kutumika kwa wale tu waliokwenda kusomea fani hiyo.
5:ambao hawakwenda kusomea fani hiyo wakabakia kuitwa Wakili tu na wala siyo Un learned friend
Niko tayari kusahihishwa.
Kwa mfano jeshini Brigadier General...Major General....Luteni General....na General wote wanaitwa General ingawa wsnapishana ki vyeo.
Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
Kwa upande huo,lazima uende intern kwa miaka mitatu na upeleke ripoti Bodi ndipo usajiliwe kama Mhandisi Mahiri/Mjuzi(Professional Engineer)! Hata kama una PhD,Masters Degree lazima ujisalimishe Bodi kwa andiko fulani la ubobez katika Uhandisi ndipo Bodi ya Wahandisi(ERB) ikupe usajili na kukuandikia barua kuwa kwa usajili huu utaanza jina lako kwa kuanzi kifupisho Eng. CHAZA au CHAZA(PEng-ERB)!Kwa upande wa mainjinia "wasomi" wao upenda kutambulishwa kwa kuanza na neno "Engineer" na kama ni kuandikwa jina upendelea iandikwe kwa kuanza na Eng. kisha jina lake linafuatia Japo kuna baadhi hawapendi sifa hizo.
Maulid Kitenge anapenda sana naye kulitumia ni kweli.Hili neno wakili msomi hata mim nilikua nataka kulijua kinaga ubaga maana hasa mtangazaj maulid kitenge hulitumia