Utambulisho wa "Wakili Msomi" kwa Mawakili au wanaSheria

The biggest bunch of brainwashing and misleading baloney I've ever read/ heard!

Hahahaha... baloney!!!
Ila ina some truth to it, though iyo sio sababu ya wao kuitwa learned
SAUT kuna a total of 79 courses over a period of 4 year and 8 semisters (9 courses per semister) in Law,
ziki range from accounts(tax law),medicine (health law), international laws, labour laws.
Kwaiyo naona its only fair kusema they know most thing hata kama vyote viko in relation to laws
 

Hakuna mtu ajuaye kila kitu bana.

Hivi unajua maana ya kujua kila kitu?
 
Hakuna mtu ajuaye kila kitu bana.

Hivi unajua maana ya kujua kila kitu?

Nilicho maanisha ni kwamba elimu ya chuo kwa upande wa sheria, wanasheria wanajifunza a wider variety of thing coz sheria ina cover a bigger scale of things compared to other courses kama engineering, accounting, medicine or any thing i can thnk of kwa sasa

#ila nna mashaka na theology, those people are good#
 

mmmmmmmmh... ngumu kumeza
 
Samahani nilikuwa napitia Googlw nione maana ya neno wakili msomi maana nimeanza kuwa nahitaji legal assistances in my endeavours kusaka tonge you know what I am saying...



Ila chief Mdukuzi umenstusha saana kwamba wakili msomi anafahamu kila kitu...

Na kwamba kuna fani watu wanakuwa tu... utundu wako...

Nahisi na wewe utakuwa wakili msomi....

Unazofahamu nakupa home work Google Course Outline Za Bachelor of Science in Computer Science; Computer Engineering; Information Technology apply usomi wako kuzitazama tu course outline za bachelor degree ya field hii ya science...

kukusaidia field ya IT ina disciplines nyingi mfano database management systems; network systems;High Level Programing languages hapo kuna languages zaidi ya tano na last but least Computer Archictures;

Kila discipline hapo ina certification zake mdukuzi so nyie mumeamua tu kujipaisha which is not bad ki ukweli mnasaidia ila man mie mwenyewe kazi zangu nazifahamu nikifanya kazi ma wakili in my field for sometimes nasimama mwenyewe in the court of law..

division of labour...

I wante put my point cross.


Asante chief
 
Oh kumbe?
So this means in a case concerning cyber same advocate can stand on my behalf and same advocate attends the other person who has offense on medical issues say abortion?

You guys do not specialize??


Sorry an old post was google in why these folks call themselves wakili msomi?
 
Hakuna mtu ajuaye kila kitu bana.

Hivi unajua maana ya kujua kila kitu?
Kama usomi wao ni kusoma vitu vingi basi watu wa community development ndo wasomi haswaaa...maana wao coz zao zinagusa nyanja nyingi sana, ndo maana wanasema community development worker ni jack of many but muster of non
 
 
najaribu kuwaza, nini kiliwapelekea wanasheria/mawakili kujiita "wakili msomi" huku wasomi wa taaluma nyingine huwa hawana kasumba hii.

kwa mtazamo wangu Engineers,Madoctor,Waalimu ndio walipaswa kujiita wasomi. Maana mwanadamu yoyote anaweza kujiwekea sheria. Naamini hata wakina mkwawa walikuwa na sheria zilizokuwa hazihitaji ubobezi wowote. Maengineer wanaweza kukaa wenyewe wakajiwekea sheria zao na kazi ikaenda.

Hata sheria wanazoquote kutoka india na uingereza kwa mfano wangeweza kuzipata kwa mababu zetu hukuhuku kama tungekuwa na tabia ya documentation.

mtazamo tu
 
Labda sababu kilamjadala wana penda kusoma vifungu vyao. Kwahiyo wanasoma mudawote ili kukariri.

Majibu mengine yaendelee.
 
Umesema kweli mkuu tatizo la ulimwengu wa tatu tunaishi maisha ya maigizo...
 
Umesema kweli mkuu tatizo la ulimwengu wa tatu tunaishi maisha ya maigizo...


Sambamba na hao, wapo Waheshimiwa, regardless of their behaviours lazima waheshimiwe

Je bila kuitwa wasomi au waheshimiwa ina maana huduma watakazotoa kwa wahudumiwa zinakuwa hafifu au zinakuwa na mapungufu gani,

Kama sijakosea niliwahi kusikia the Late Mwl. J. K. Nyerere alikataa u Dr. na u Prof. akataka aitwe Mwl tu inatosha

Pia nilisikia kuwa Barack Obama ni Prof. lakini hiyo title haivumi kuzidi jina lake,
 
Hata Mimi huwa sielewi kwa nini wakili msomi, kwani kuna mawakili ambayo sio wasomi? Na huko kwa wenzetu huwa wanajiita hivyo wakili msomi?
 
Anataka kusema TL asipewe u urais wa TLS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…