Saguda47
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 11,258
- 20,386
Of course!! Haya weka sasa naona umeelewa vizuri mtoto mzuri.Mmmmhhhh picha Tena jaman
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Of course!! Haya weka sasa naona umeelewa vizuri mtoto mzuri.Mmmmhhhh picha Tena jaman
Mbona kama mwongo hivi,jf huwa mastudents hawaielewi.Upo wapi?[
Hata mi inansumbua japo natumia akili za kuzaliwa so niamini mi ni student napatikana pwani
Upo wapi?Ila najua wapo
Niamini mi ni student na kuelewa na kutoelewa ni mtu mwenyeweMbona kama mwongo hivi,jf huwa mastudents hawaielewi.Upo wapi?
Hahahha daahhhhh vitu vingine ni kutumia akili tu kaka anguUpo wapi?
Mgeni umejuaje Ku quote?
Unasoma kidato cha ngp?Hahahha daahhhhh vitu vingine ni kutumia akili tu kaka angu
Unasoma kidato cha ngp?Hahahha daahhhhh vitu vingine ni kutumia akili tu kaka angu
Nimeshindwa kuweka picha mtanisamehe jamanOf course!! Haya weka sasa naona umeelewa vizuri mtoto mzuri.
Ppre form five kakaUnasoma kidato cha ngp?
Wewe unatania Wana jf!!!?sema ukweli utafungiwa humu ohooo.Ppre form five kaka
Unatarajia kwenda kusoma mchepuo gani?Ppre form five kaka
Nimeshindwa kuweka picha mtanisamehe jaman
Nitumie nikusaidie ku upload picha[emoji85]Nimeshindwa kuweka picha mtanisamehe jaman
Ssiwezi kuwadanganya na nifanye hivyo ili iweje?Wewe unatania Wana jf!!!?sema ukweli utafungiwa humu ohooo.
Asante kwa msaada bt Ssiwezi fanya hivyoNitumie password yako nikusaidie kuweka picha.
Inshaallah PCBUnatarajia kwenda kusoma mchepuo gani?
Mmmmhhhh no kwa kweli maana sjaja kutafuta couple humu af mi mwanafunzi etiiItapendeza tukiform kacouple Ketu na siye tujimwayemwaye bibiye [Tag]Rosey Berry[/Tag]
Ng
Asante kwa msaada bt Ssiwezi fanya hivyo
Kwa combi hii huwez kuwa great thinker coz huwa mnameza mavitu tu...Inshaallah PCB