tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Huoni kama ni hatar Kwa badae yako njema kuingia mitandaoni kama hivi tena usiku?Ssiwezi kuwadanganya na nifanye hivyo ili iweje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni kama ni hatar Kwa badae yako njema kuingia mitandaoni kama hivi tena usiku?Ssiwezi kuwadanganya na nifanye hivyo ili iweje?
Kila la kheri.Inshaallah PCB
I love you berryHabari wana jamii forum
Mimi ni new member nilijiunga humu since may 1 ila tu skuweza kutumia vizuri app but now kidogo nna uelewa jinsi ya kulog in, kuanzisha na kujibu threads.
Ningependa ushirikiano wenu as great thinkers.
Naombeni mnipokee mdogo wenu
SHUKRAN
humu haturuhusu wanafunzi...umesoma privacy and policies???Mmmmhhhh no kwa kweli maana sjaja kutafuta couple humu af mi mwanafunzi etii
mmmmhhhhh so unamaana Watu wa PCB wote ni malow thinkers??Kwa combi hii huwez kuwa great thinker coz huwa mnameza mavitu tu...
Una maana gani??Huoni kama ni hatar Kwa badae yako njema kuingia mitandaoni kama hivi tena usiku?
Haya ntakupa inshaalaahKila la kheri.
Ukihitimu unitafute hapa JamiiForums unipe mrejesho jinsi utamu wa huo mchepuo utakavyokuwa
Thank youI love you berry
Nawewe ulihitimu mwaka Jana nn??Swali la essay la biology ulilofanya ktk necta lilikuwa linasemaje?
Hahahha Asante bt ni ujanja tu maana Sina uzoefu wowoteKaribu, japo unaonekana mzoefu(Machachari sana)
Nitumie picha yako moja private message au hujui PM?Mmhh
Hapana mimi student
I seeNna miaka 18
Asa mbona wapohumu haturuhusu wanafunzi...umesoma privacy and policies???
mmmhhhh kitu gani hicho kama vipi nambie hapa tuI see
Unajua pm mdogo wangu?
Kama unapajua, unaweza kunitembelea nikwambie kitu kizuri?
Siijui nielekezeNitumie picha yako moja private message au hujui PM?
Jamani umeshindwa kuielewa sentence ndogo hiyo?Kwamba mitandao hii huwa si mizuri sn hasa Kwa binti mdogo kama ww,na ukizingatia bado Una Safari ndefu sn kimasomo.Una maana gani??
Unataka ukasome PCB, okay.Habari wana jamii forum
Mimi ni new member nilijiunga humu since may 1 ila tu skuweza kutumia vizuri app but now kidogo nna uelewa jinsi ya kulog in, kuanzisha na kujibu threads.
Ningependa ushirikiano wenu as great thinkers.
Naombeni mnipokee mdogo wenu
SHUKRAN