Utambulisho

Utambulisho

Swali la essay la biology ulilofanya ktk necta lilikuwa linasemaje?
Nawewe ulihitimu mwaka Jana nn??
Kuna swali moja kati ya matatu lilikua linahusu bacteria
Mengine skumbuki vzr maana sinaga ability na spend kukumbuka maswli ya mtihani nlofanya
 
Una maana gani??
Jamani umeshindwa kuielewa sentence ndogo hiyo?Kwamba mitandao hii huwa si mizuri sn hasa Kwa binti mdogo kama ww,na ukizingatia bado Una Safari ndefu sn kimasomo.
People are very destructive here in social medias.Huoni ni hatariiiiii?
 
Habari wana jamii forum
Mimi ni new member nilijiunga humu since may 1 ila tu skuweza kutumia vizuri app but now kidogo nna uelewa jinsi ya kulog in, kuanzisha na kujibu threads.
Ningependa ushirikiano wenu as great thinkers.
Naombeni mnipokee mdogo wenu

SHUKRAN
Unataka ukasome PCB, okay.

Wewe unaona kitu gani hakiko sawa kwa sasa kwenye health sector kwa hapa Tanzania na ungependa kuona kinafanyiwa kazi.

Unahisi chanzo cha tatizo hilo ni nini?

Je nini kifanyike?

Na wewe baada ya kugraduate masomo yako katika sekta ya afya (nimeassume hata chuo utaendelea na masomo hayo) unahisi utasaidia vipi kupunguza au kuondoa hilo tatizo unaloliona sasa katika afya sekta?
 
Back
Top Bottom