Rosey Berry
Member
- May 1, 2018
- 62
- 48
- Thread starter
-
- #61
Ahaaaa but mimi ni binti ninaejielewa na najua nini nafanya bt thank u for your adviceJamani umeshindwa kuielewa sentence ndogo hiyo?Kwamba mitandao hii huwa si mizuri sn hasa Kwa binti mdogo kama ww,na ukizingatia bado Una Safari ndefu sn kimasomo.
People are very destructive here in social medias.Huoni ni hatariiiiii?
Karibu, usiogope kunieleza nini unachopendelea na nini usichopendeleaNna miaka 18
Hapa kuna wakora wengi njoo tu usihofu sitamwambia mtu[emoji16]mmmhhhh kitu gani hicho kama vipi nambie hapa tu
Asante sana kwa ukaribisho wako.Karibu, usiogope kunieleza nini unachopendelea na nini usichopendelea
Sijui jinsi ya kujaHapa kuna wakora wengi njoo tu usihofu sitamwambia mtu[emoji16]
Vizuri kama unajielewa,na iwe hivyo Kwa dhati.Take care Sana ee.Ahaaaaa but
Ahaaaa but mimi ni binti ninaejielewa na najua nini nafanya bt thank u for your advice
Sijui nikuchane au nikuonee huruma. Nilitaka kupima ugreat thinker wako. Badala ya kujibu swali naona umekwepa kwepa kama mshale. Utaweza kweli PCB? Wapi nimesema unataka uwe daktari? Ila niliassume ukifika chuo utaendelea na masomo ya afya. Ndio maana nikainclude kiujumla sekta ya afya maana najua kuna normal doctors, surgeon, pharmacists etc.Unadhani
Matatizo bado ni mengi tu katika sekta zote hapa nchini but kaka ang hata nikisema kifanyike hiki na hiki itakua ni kazi Bure kwani mpaka sasa wasomi ni wwngi lakini hata serikali inatambua Matatizo hayo ila imeyafumbia macho
In short nasoma nipate ujuzi hata wa Kuja kujiajiri hapo mbeleni ili niisaidie Familia yang
Na kusoma PCB Sio lazima Uje kua daktari au kufanya kazi sekta ya afya
Thank youVizuri kama unajielewa,na iwe hivyo Kwa dhati.Take care Sana ee.
Vizuri kama unajielewa,na iwe hivyo Kwa dhati.Take care Sana ee.Ahaaaaa but
Ahaaaa but mimi ni binti ninaejielewa na najua nini nafanya bt thank u for your advice
Hahahha Asante bt ni ujanja tu maana Sina uzoefu wowote
Sijui nikuchane au nikuonee huruma. Nilitaka kupima ugreat thinker wako. Badala ya kujibu swali naona umekwepa kwepa kama mshale. Utaweza kweli PCB? Wapi nimesema unataka uwe daktari? Ila niliassume ukifika chuo utaendelea na masomo ya afya. Ndio maana nikainclude kiujumla sekta ya afya maana najua kuna normal doctors, surgeon, pharmacists etc.
Unasema wasomi wengi wameshindwa kubadili kitu! Je wewe unataka serikali ikulipie ada au ikupe boom usome halafu usisaidie kitu chochote? Kwahiyo unaenda kuchezea kodi ya wanachi tu huko form 5 na vyuo?
Sijui nikuchane au nikuonee huruma. Nilitaka kupima ugreat thinker wako. Badala ya kujibu swali naona umekwepa kwepa kama mshale. Utaweza kweli PCB? Wapi nimesema unataka uwe daktari? Ila niliassume ukifika chuo utaendelea na masomo ya afya. Ndio maana nikainclude kiujumla sekta ya afya maana najua kuna normal doctors, surgeon, pharmacists etc.
Unasema wasomi wengi wameshindwa kubadili kitu! Je wewe unataka serikali ikulipie ada au ikupe boom usome halafu usisaidie kitu chochote? Kwahiyo unaenda kuchezea kodi ya wanachi tu huko form 5 na vyuo?
Sina maana hiyo but samahan myb nimejibu kwa kukurupuka bt ndio napenda Kuja kufanya kazi sekta ya afya mungu akijaalia na napenda pia Kuja kusaidia wananchi japo hayo mengine ni mbeleni na anything can happen around the way so ni hivyo tuSijui nikuchane au nikuonee huruma. Nilitaka kupima ugreat thinker wako. Badala ya kujibu swali naona umekwepa kwepa kama mshale. Utaweza kweli PCB? Wapi nimesema unataka uwe daktari? Ila niliassume ukifika chuo utaendelea na masomo ya afya. Ndio maana nikainclude kiujumla sekta ya afya maana najua kuna normal doctors, surgeon, pharmacists etc.
Unasema wasomi wengi wameshindwa kubadili kitu! Je wewe unataka serikali ikulipie ada au ikupe boom usome halafu usisaidie kitu chochote? Kwahiyo unaenda kuchezea kodi ya wanachi tu huko form 5 na vyuo?
Shukrandadeq et ukichokozwa humu nitag
ShukranVizuri kama unajielewa,na iwe hivyo Kwa dhati.Take care Sana ee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usije ukalia bure nilikua nakukaribisha tuSina maana hiyo but samahan myb nimejibu kwa kukurupuka bt ndio napenda Kuja kufanya kazi sekta ya afya mungu akijaalia na napenda pia Kuja kusaidia wananchi japo hayo mengine ni mbeleni na anything can happen around the way so ni hivyo tu
Ila shukran sana maana umeweza kukifungua kichwa changu
Shukran
Daaaahhhh mkuu sio kwa ukaribisho huo nusu nilie ila shukran cause napenda challenge kama hizo[emoji23] [emoji23] [emoji23] usije ukalia bure nilikua nakukaribisha tu
Safi! Kitabia tunafanana kabisaAsante sana kwa ukaribisho wako.
Sipendi lugha mbaya na dharau. Napenda heshima I mean kumheshm mtu na kuheshimiwa pia
Kwa hayo machache yanatosha.
Ahaaa bas vizuriSafi! Kitabia tunafanana kabisa
Nimekujib PM. Hapa kuna wasiojulikana ntawanufaishaDaaaahhhh mkuu sio kwa ukaribisho huo nusu nilie ila shukran cause napenda challenge kama hizo
Shukran mkuu
Ila napenda kujua wewe unafanya kazi sekta ya afya au??
Shukran mkuuNimekujib PM. Hapa kuna wasiojulikana ntawanufaisha