Pre form five unasoma wapi[emoji39] [emoji39]Nawewe ulihitimu mwaka Jana nn??
Kuna swali moja kati ya matatu lilikua linahusu bacteria
Mengine skumbuki vzr maana sinaga ability na spend kukumbuka maswli ya mtihani nlofanya
Wewe ni mwanafunzi??Pre form five unasoma wapi[emoji39] [emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimekujib PM. Hapa kuna wasiojulikana ntawanufaisha
Mmmmhhhh kwanza nna aleg na kutongozwaUlishawahi kutongozwa kisukuma
Tuanzie hapo kwanza
Karibu tenaNimepita tena...
Mmmhhhh basi hujui kutofautisha maana mi ni mpya humuMwandiko wako nishakujua
Ukitongozwa kisukuma allergy inapotea kabisaMmmmhhhh kwanza nna aleg na kutongozwa
Form 4 ulisoma shule gani?Mmmhhhh basi hujui kutofautisha maana mi ni mpya humu
teh teeeh watu mnajua kutumia fursa kitakachoendelea huko ni siri yenuYap mi najiandaa na PCM mana nna dream ya kusomea course za engineering hapo baadae
Ahaaaa vizuri mkuu
Unaweza kuniPM. Samahan lakn
Kaka naomba tu tuheshimianeUkitongozwa kisukuma allergy inapotea kabisa
Lkn pia uache kuandika vifupi vya kutoka Facebook huku ni kutililika tu
Mimi nakuja pm jiandae mtongozo wakisukuma
dada huku hutakiwi uwe na hasira mengine ni utan unaacha hukuhuku la sivyo hutapawezaUsilolijua ni usiku wa giza alafu usipende kujudge mtu usiemjua na kama unanichukulia kiessay kihivyo basi pole sanaaaaaa.
Nimeona kama umenifikiria kivingine. Ila poa let's drop itdada huku hutakiwi uwe na hasira mengine ni utan unaacha hukuhuku la sivyo hutapaweza
Asante sanaMgeni karibu
Unatatua kosa kwa kufanya kosa......Ukitongozwa kisukuma allergy inapotea kabisa
Lkn pia uache kuandika vifupi vya kutoka Facebook huku ni kutililika tu
Mimi nakuja pm jiandae mtongozo wakisukuma
Nakumbuka tulikukaribisha vizuri, mshike mkono mwenzio sasaMgeni karibu
Hahahaa upo mkakaNakumbuka tulikukaribisha vizuri, mshike mkono mwenzio sasa