Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
- Thread starter
-
- #21
So nimeibiwa... HahahaUswahili uswahili tu kila mahali hata wewe ulikuwa unaiba vyake uwe mpole tu
Kuna mbinu za wizi nyingi afrika kuliko sehemu nyingine zote duniani [emoji23][emoji23]
πππππ Hawa Wanawake Hawa...hebu elezea zaidiHizi mambo zipo Sana Mimi bro wangu alihudumia mpaka tukaminishwa amejifungua mtoto
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Yaani shetani hakutumia hata nguvu nyingi kumdanganya mwanamkeHizi mambo zipo Sana Mimi bro wangu alihudumia mpaka tukaminishwa amejifungua mtoto
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
So nimeibiwa... Hahaha
πππππ Ubaya wa kutokutaa Mimba... Yaani kanikamua Hadi utumboUyo piga chini kabisa mkulungwa tapeli kabisa uyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah humu mjini noma njaa watu wanakuwa wabunifu kiasi hicho, nina jamaa yangu demu wake kamwambia ana mimba kumbe hakuna lolote ni mizinga tu kila kukicha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ubaya wa kutokutaa Mimba... Yaani kanikamua Hadi utumbo
Kipindi nasoma nilipata demu mmoja kitaa mrembo haswa, nikasafiri kwenda mkoani kusoma tukawa tunawasiliana kwa simu tuNilichofanyiwa nitoe Rai kwa wanaume wenzangu never trust a woman
Ukiona hivyo ameona anakumudu ujue wanawake wengi huleta unjinga kwa kumcheck mwanaume anaedate nae akikuona zombie umeisha.Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23] umejuaje... Hebu niambie una deal vipi na hii hali
Nilidhanigi Mimi ni mkavu, ila Wanawake nimewavulia kofia... ππππ NikikumBuka nilivokuwa nalalamikiwa nikichelewa kutoa mpunga naishiwa pozi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah humu mjini noma njaa watu wanakuwa wabunifu kiasi hicho, nina jamaa yangu demu wake kamwambia ana mimba kumbe hakuna lolote ni mizinga tu kila kukicha
Nasadiki.... Ndugu ingekuwa filamu ningewafundisha wengi, sijui ilikuwaje nikashindwa kuelewa mapemaUkiona hivyo ameona anakumudu ujue wanawake wengi huleta unjinga kwa kumcheck mwanaume anaedate nae akikuona zombie umeisha.
Forgiveness for what? For cheating or tell lie kuwa amesafiri?!Kipindi nasoma nilipata demu mmoja kitaa mrembo haswa, nikasafiri kwenda mkoani kusoma tukawa tunawasiliana kwa simu tu
Likizo ilivyofika nikam alert kua nakuja, nikastukizwa hapo hapo na habari mpya kua ye mgonjwa anaumwa asthma na muda wowote ataenda njombe kutibiwa
Nikawa najiuliza kama ugonjwa umefikia mpak hatua hiyo ya wewe kuhitaji matibabu ya kwenda mkoani maana yake upo critical, lakini mbona siku za nyuma hukuwahi kuniambia au kuonesha dalili zozote za ugonjwa?
Halafu mbona ghafla hivi yani kwanini iwe siku ambayo nakuja mimi na wewe ndio iwe siku hiyo hiyo ya kondoka?
Nikamwambia basi nabadilisha ratiba nakuja siku kabla ya wewe kuondoka na ikiwezekana nakusindikiza hadi huko
Akakubali kinyonge
Nikamwambia kesho naanza safari akasema poa, nilivyofika usiku nikiwa stend nikampigia aje akasema ametingwa sana hajiskii vizuri, nikamuacha
Asubuhi yake majira ya saa 10 alfajiri nikatumiwa meseji kua kulingana na hali ilivyo nibadilikia hapo jana, wazazi wamenambia niende hospitalini leo
Pale pale nikamjibu kuwa sawa basi ngoja nije hapo stend uzuri nina usafiri sito chukua muda, akajibu akasema "yani hivi ndo napanda gari na limeanza kuondoka lala tu baby usijisumbue tutaonana nikirudi"
Siku moja nikapita mitaa yao nikiwa na mshkaji wangu kucheki hivi nikaona demy ana bonge ya litumbo, nikamwambia msela ebu simamisha kwanza nijionee vizuri
Kushuka hivi nikagongana naye macho akashtuka akiwa haamini kama nimemsanukia na mimba yake, nikarudi zangu huyo tukaamsha.
She asked for forgiveness I said No, I'm not a God so I'm not a forgiver
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh pole sana kumbe umepasuliwa ivyooNilidhanigi Mimi ni mkavu, ila Wanawake nimewavulia kofia... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NikikumBuka nilivokuwa nalalamikiwa nikichelewa kutoa mpunga naishiwa pozi
Huyu mdada hakuwa na huruma ,Bro alikua anatoa pesa nyingi Sana lakini Kuna baadhi ya ndugu walishitukia wakamngata sikio bro. Ikawa nikama kumpigia Gita mbuzi akawachukia ndugu wote kuwa wanamuonea wivu ,muda huu kapiga chini baada ya kujua kumbe alikuwa anamdanganya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hawa Wanawake Hawa...hebu elezea zaidi
Imagine mtu anakuomba Hela ya follicle acid... Sasa sijui afanyie nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duh pole sana kumbe umepasuliwa ivyoo
For every shit she did, but I didn't want to hear no sorry so I said bitch fck your apologize and GTHForgiveness for what? For cheating or tell lie kuwa amesafiri?!
Ndugu imagine mtu anataka Hela ya Nauli ya clinic na follicle acid kumbe haendi kabisa...Huyu mdada hakuwa na huruma ,Bro alikua anatoa pesa nyingi Sana lakini Kuna baadhi ya ndugu walishitukia wakamngata sikio bro. Ikawa nikama kumpigia Gita mbuzi akawachukia ndugu wote kuwa wanamuonea wivu ,muda huu kapiga chini baada ya kujua kumbe alikuwa anamdanganya
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app