Utamfanyaje mwanamke anayekuambia ana mimba wakati hana?

Utamfanyaje mwanamke anayekuambia ana mimba wakati hana?

Wadau maoni muhimu, imagine umekuwa ukiamini unahudumia mimba yako. Kila siku unatoa pesa ya matumizi hadi bajeti za vifaa vya kujifungulia, halafu mwisho wa siku unakuja kuambiwa mimba haikuwepo

Mkuu kama haikuwepo wewe endelea ku....
IMG_1476.jpg
 
Wadau maoni muhimu, imagine umekuwa ukiamini unahudumia mimba yako. Kila siku unatoa pesa ya matumizi hadi bajeti za vifaa vya kujifungulia, halafu mwisho wa siku unakuja kuambiwa mimba haikuwepo
hiyo issue kama naipata hiv
huyo mwanamke alikuwa anafanya hivo kusud apate pesa na mlikua mnakutana kimapenzi sehem akija kuwasalimia ndg zake na tangia hapo hamjakutana tena zaid ya kuwasiliana na kila unapo wasiliana alikua anakwambia anamimba yako
Na kuna mpango yy aliupanga kwamba baada ya kipindi cha miez kadhaa atakwambia imehar ibika.
Na wewe mlipanga mtakuja kuona
Kwahyo hapo huwezi kudumu naye kama alithubutu kukudanganya kuhusu ujauzito
 
hiyo issue kama naipata hiv
huyo mwanamke alikuwa anafanya hivo kusud apate pesa na mlikua mnakutana kimapenzi sehem akija kuwasalimia ndg zake na tangia hapo hamjakutana tena zaid ya kuwasiliana na kila unapo wasiliana alikua anakwambia anamimba yako
Na kuna mpango yy aliupanga kwamba baada ya kipindi cha miez kadhaa atakwambia imehar ibika.
Na wewe mlipanga mtakuja kuona
Kwahyo hapo huwezi kudumu naye kama alithubutu kukudanganya kuhusu ujauzito
Hebu ni DM
 
Kipindi nasoma nilipata demu mmoja kitaa mrembo haswa, nikasafiri kwenda mkoani kusoma tukawa tunawasiliana kwa simu tu

Likizo ilivyofika nikam alert kua nakuja, nikastukizwa hapo hapo na habari mpya kua ye mgonjwa anaumwa asthma na muda wowote ataenda njombe kutibiwa

Nikawa najiuliza kama ugonjwa umefikia mpak hatua hiyo ya wewe kuhitaji matibabu ya kwenda mkoani maana yake upo critical, lakini mbona siku za nyuma hukuwahi kuniambia au kuonesha dalili zozote za ugonjwa?

Halafu mbona ghafla hivi yani kwanini iwe siku ambayo nakuja mimi na wewe ndio iwe siku hiyo hiyo ya kondoka?

Nikamwambia basi nabadilisha ratiba nakuja siku kabla ya wewe kuondoka na ikiwezekana nakusindikiza hadi huko

Akakubali kinyonge

Nikamwambia kesho naanza safari akasema poa, nilivyofika usiku nikiwa stend nikampigia aje akasema ametingwa sana hajiskii vizuri, nikamuacha

Asubuhi yake majira ya saa 10 alfajiri nikatumiwa meseji kua kulingana na hali ilivyo nibadilikia hapo jana, wazazi wamenambia niende hospitalini leo

Pale pale nikamjibu kuwa sawa basi ngoja nije hapo stend uzuri nina usafiri sito chukua muda, akajibu akasema "yani hivi ndo napanda gari na limeanza kuondoka lala tu baby usijisumbue tutaonana nikirudi"

Siku moja nikapita mitaa yao nikiwa na mshkaji wangu kucheki hivi nikaona demy ana bonge ya litumbo, nikamwambia msela ebu simamisha kwanza nijionee vizuri

Kushuka hivi nikagongana naye macho akashtuka akiwa haamini kama nimemsanukia na mimba yake, nikarudi zangu huyo tukaamsha.

She asked for forgiveness I said No, I'm not a God so I'm not a forgiver
😂😂😂Hii kali
 
Kuna jamaa yangu alihudumia hadi mtoto.
Bahati nzuri ilikuja kusanuka.
 
[emoji23][emoji23]Huwa hwana tabia ya kusalimia wajawazito huwa hawapend klinik kupima nao pia?
Ndio tatizo hilo,
Jamaa alikuwa anajimwambafai na mtoto.
Kumbe mtoto si wake

Ila wanawake nyie mnajua kuficha.
 
Ndio tatizo hilo,
Jamaa alikuwa anajimwambafai na mtoto.
Kumbe mtoto si wake

Ila wanawake nyie mnajua kuficha.
Mwanamke akiamua kumpiga mtu tukio ni la aina yake😂😂😂had shetan anashangaa
 
Back
Top Bottom