Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
- Thread starter
-
- #41
aisee mimi niliruka hii stepMimi nimekaza mpaka leo nasubili huyo mtoto azaliwe hiyo january 2022...asipofanana na mimi huu uarabu koko wangu ameumia huyu dada mfupiii mwenye makalio makubwa πππ
π π π πPole mkuu jikaze,, ndio uanaume
Wadau maoni muhimu, imagine umekuwa ukiamini unahudumia mimba yako. Kila siku unatoa pesa ya matumizi hadi bajeti za vifaa vya kujifungulia, halafu mwisho wa siku unakuja kuambiwa mimba haikuwepo
hiyo issue kama naipata hivWadau maoni muhimu, imagine umekuwa ukiamini unahudumia mimba yako. Kila siku unatoa pesa ya matumizi hadi bajeti za vifaa vya kujifungulia, halafu mwisho wa siku unakuja kuambiwa mimba haikuwepo
Hebu ni DMhiyo issue kama naipata hiv
huyo mwanamke alikuwa anafanya hivo kusud apate pesa na mlikua mnakutana kimapenzi sehem akija kuwasalimia ndg zake na tangia hapo hamjakutana tena zaid ya kuwasiliana na kila unapo wasiliana alikua anakwambia anamimba yako
Na kuna mpango yy aliupanga kwamba baada ya kipindi cha miez kadhaa atakwambia imehar ibika.
Na wewe mlipanga mtakuja kuona
Kwahyo hapo huwezi kudumu naye kama alithubutu kukudanganya kuhusu ujauzito
πππHii kaliKipindi nasoma nilipata demu mmoja kitaa mrembo haswa, nikasafiri kwenda mkoani kusoma tukawa tunawasiliana kwa simu tu
Likizo ilivyofika nikam alert kua nakuja, nikastukizwa hapo hapo na habari mpya kua ye mgonjwa anaumwa asthma na muda wowote ataenda njombe kutibiwa
Nikawa najiuliza kama ugonjwa umefikia mpak hatua hiyo ya wewe kuhitaji matibabu ya kwenda mkoani maana yake upo critical, lakini mbona siku za nyuma hukuwahi kuniambia au kuonesha dalili zozote za ugonjwa?
Halafu mbona ghafla hivi yani kwanini iwe siku ambayo nakuja mimi na wewe ndio iwe siku hiyo hiyo ya kondoka?
Nikamwambia basi nabadilisha ratiba nakuja siku kabla ya wewe kuondoka na ikiwezekana nakusindikiza hadi huko
Akakubali kinyonge
Nikamwambia kesho naanza safari akasema poa, nilivyofika usiku nikiwa stend nikampigia aje akasema ametingwa sana hajiskii vizuri, nikamuacha
Asubuhi yake majira ya saa 10 alfajiri nikatumiwa meseji kua kulingana na hali ilivyo nibadilikia hapo jana, wazazi wamenambia niende hospitalini leo
Pale pale nikamjibu kuwa sawa basi ngoja nije hapo stend uzuri nina usafiri sito chukua muda, akajibu akasema "yani hivi ndo napanda gari na limeanza kuondoka lala tu baby usijisumbue tutaonana nikirudi"
Siku moja nikapita mitaa yao nikiwa na mshkaji wangu kucheki hivi nikaona demy ana bonge ya litumbo, nikamwambia msela ebu simamisha kwanza nijionee vizuri
Kushuka hivi nikagongana naye macho akashtuka akiwa haamini kama nimemsanukia na mimba yake, nikarudi zangu huyo tukaamsha.
She asked for forgiveness I said No, I'm not a God so I'm not a forgiver
ππHuwa hwana tabia ya kusalimia wajawazito huwa hawapend klinik kupima nao pia?Kuna jamaa yangu alihudumia hadi mtoto.
Bahati nzuri ilikuja kusanuka.
Ndio tatizo hilo,[emoji23][emoji23]Huwa hwana tabia ya kusalimia wajawazito huwa hawapend klinik kupima nao pia?
Mwanamke akiamua kumpiga mtu tukio ni la aina yakeπππhad shetan anashangaaNdio tatizo hilo,
Jamaa alikuwa anajimwambafai na mtoto.
Kumbe mtoto si wake
Ila wanawake nyie mnajua kuficha.