Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Observe their pattern. Usisikilize sana wananchosema. Angalia matendo yao.. yatakupa viashiria flan kwamba huyu mtu sioSikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!
Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Kiaje?Ugumu uko wapi?Mnakutana gesti? Huwezi kwenda kwake? Ukifika kwake alieoa anajulikana na asie na mke anajulikana
Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31Wewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,
Utaona anakupa ratiba kibaooo
Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??
Na mwitikio unakua mzuri tu.
Kila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendoObserve their pattern. Usisikilize sana wananchosema. Angalia matendo yao.. yatakupa viashiria flan kwamba huyu mtu sio
Kimbia ... Kabla hujapigwa na kitu kizito kichwaniNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
[emoji28][emoji28] Muache mwenzio atachapwa bnNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Kimbia ...
AhsanteKimbia ... Kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani
Yaaani ananikera sana bac tu[emoji28][emoji28] Muache mwenzio atachapwa bn
usimuite kijana wtk bado anaishi kwao muite mtotoNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Late 20zHivi una maiaka mingapi
Sikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!
Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Na kweli yaaani
Bora usimpigie simu usiku asije akafukuzwa kwao mkuu. [emoji38][emoji38]Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
yeah vijana wamepanga hata kama wanaish maisha magum ila hawaish kwa wazaz,,,,mpaka hapo jibu na ushaul juu ya uzi wako ushajijibuNa kweli yaaani