Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
I love youKila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I love youKila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendo
[emoji23][emoji23][emoji23]blood fuckinMwambie afuge vu*i umnyoe wewe. Akija kanyoa jua ana mke
sisi
Hahahah nawew unaamini??Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
JiongezeKila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendo
ExactlyEnjoy love n sex as it lasts! Maswala ya kujifanya FBI kwenye mahusiano hutakaa ufurahie wala!
Hahahah saa mbili anakuaga anaingia kwa mkeweNikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Usimuache kama unampenda hakuna mume wa mtu wewe ndo maana wanaume hawalipiwi maliNikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
[emoji854]Mkuu wala usikariri maisha kuna watu wengine wameshazoea kukaa kwao maana wao ndo wanakua kama vichwa wa familia..baada ya either mzazi mmoja kufariki...
Nzuri za kupotea khantwe
Safi. Nimefurahi kukuonaNzuri za kupotea khantwe
Ukweli hukuweka huru daima![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]life is too short kuwa na stress,
Wewe mume wa mtu umeona unataka kuwa na pa kuhemea o whatever ni bora kumwambia binti wa watu mapema ajue kama anakubali anakubali kitu gani kuliko kudanganya
Akili zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Wewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,
Utaona anakupa ratiba kibaooo
Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??
Na mwitikio unakua mzuri tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
[emoji7]Akili zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!
Na mimi nimefurahi zaidi khantwe. [emoji120]