Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Heee 😂😂😂Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee 😂😂😂Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
MabigHeee 😂😂😂
"Aisee Dada angu nachokushauri zingatia kwa makini. Vua ndala zako, halafu kimbia kwa kasi sana wala usigeuke nyuma. "Kila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendo
Ndala zipi? [emoji848]"Aisee Dada angu nachokushauri zingatia kwa makini. Vua ndala zako, halafu kimbia kwa kasi sana wala usigeuke nyuma. "
Hiyo ni figure of speech, apotezee haraka mahusiano yasiyoeleweka na ahakikishe nothing holds her back. Kama kandambili zinavyomhold back mkimbiaji.Ndala zipi? [emoji848]
Jibu umepata sasa! Kama unataka mwanaume wa malengo hapo kimbia, focus kwa wanao kuja mbele. Vipi kitumbua amesugua mara ngapi?Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Wewe usijifanye unatafuta wa kwako hutampata, mkubalie huyo akivushe kiuchumi baadaye mzae maisha yasonge hawa vijana ndio hawaeleweki kabisa utampa tunda kisha anakumwaga tena ukicheza atakuzalilishaSikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!
Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Hiki ndio mnataka kusikia wabonya bonya ndio vile na ndio zaoKila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendo
Hakuna mume wa mtu .mume wa mtu hajazaliwa bado kuna Mume wetuuuuuuu.Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Daah angalau wewe umembeba mwamba hapo mwishoni, huo uzoefu wako ni kiboko! Kuna kupanga ghetto vilevile Au niko ghetto Dodoma nimeoa mke yuko dsm ndio mtajua shoo ni shoo angalia mtu sio kabati lake, niko sinza na wife niko na ghetto kigamboni, ! Heeheeeiaa, 'Dadadadadae!!! Kolikoli kokorikooo!!!Mnaongea vipi, hakuna limitation ya kupiga kutuma msg n.k? Je unampata muda wowote unaomuhitaji au mpaka muweke ratiba? Mkikutana hua mnaspend usiku mzima au ni lazima arudi nyumbani akalale? Unaenda kwake utakavyo? Maongezi yake yako vipi ?
Kama yote hayo bado na unataka kujua basi jaribu
Kumpigia simu usiku uone kama atapokea na kama ukipokea je mtaongea kwa uhuru na kujiachia kama mnavyoongeaga muda mwingine,
Jaribu, kutaka kuspend nae usiku mzima au hata siku mbili mfululizo
Kama hujawahi fika kwake pambania uende
Ila ukijua ni mume wa mtu utamuacha?
Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy [emoji23]
Hii Kali ya kufungia mwaka,Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Baharia yuko vizuri halafu kakutana na underground mwenye kitochi, daah...oyooo...et.ananiita madam!!! Anakupenda hadi status ya madam!!! Huyu huwa anapokea hata akiwa na mkewe tatizo maudhui kabla hajavesha kanzu kwako anaanza na wyfoo...his wyfoo...halooo...halooo...anavuta gepu na kuikata kwa kujipanga zaidi kama Locus ya form2 niliisoma hata baada ya kuambiwa imefutwa niliisoma nikaiva. Tuendelee na hatua ya mtoanoAhsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
YaaaniHeheheeee....Umenikumbusha mbaaaali saaaana. Kuna jamaaa alishawahi kunifanyia huu mchezo unaofanyiwa wewe hivi sasa.
Saivi nikikumbuka huwa naishia kucheka tuu...nawaza hivi nilikuwaje mjinga hata sikumgundua mapema...Ila ndio maisha...Kila siku ni kujifunza.
Hapana badoAliishakukula lakini?
Hapo ni kua anakuzunguka, Jaribu kutafakari kwa namna rahisi, Je ni sawa mtu wa umri huo kuwepo nyumbani kwao bado?? Je hata familia yao hawashtuki tu mtu yuko kwenye miaka ya 30 na hajaoa wala hana mtu!!!Yaaani ananikera sana bac tu