Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Sikuhizi imekuwa vigumu sana kumtambua mwanaume ambaye tayari ameshaoa!

Kwa uzoefu wako mdau,naomba mnisaidie Niko matatani!
Nitamtofautisha vipi ambaye ameoa na ambaye sie ilihali sikai eneo LA karibu na anadai kunipenda ?
Huwa tunajua ku-care sana, tunajua Kila kitu na huwa tuna kaustaarabu flani hivi amazing. Yaani unajikuta unapendwa Hadi unashangaa
 
Sifa mwanaume alie oa hatokufatilia sana na hamuwez kupshan san kimawazo kwakuw tunakuw na one mission to pursue

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Si namie nashangaaa hatujawahi kugombana afu yaaani anaongea mambo mengi which are too good to be true!

"Ety baby mie nakusikiliza wewe tu ukitaka ndoa hata kesho tu " mtu kweli hata hatujamaliza muda tufahamiane vizuri?
 
Wewe usijifanye unatafuta wa kwako hutampata, mkubalie huyo akivushe kiuchumi baadaye mzae maisha yasonge hawa vijana ndio hawaeleweki kabisa utampa tunda kisha anakumwaga tena ukicheza atakuzalilisha
Kwangu Mimi sihitaji kuinuliwa kiuchumi ,I can do that on my own!

I'm still positive staki mume wa MTU mm!
 
Si namie nashangaaa hatujawahi kugombana afu yaaani anaongea mambo mengi which are too good to be true!

"Ety baby mie nakusikiliza wewe tu ukitaka ndoa hata kesho tu " mtu kweli hata hatujamaliza muda tufahamiane vizuri?
Si amegundua unataka ndoa?? Siku hizi demi akijifanya ngumu wewe mtangazie ndoa tu ... Utampata tena Kwa gharama zake
 
Daah angalau wewe umembeba mwamba hapo mwishoni, huo uzoefu wako ni kiboko! Kuna kupanga ghetto vilevile Au niko ghetto Dodoma nimeoa mke yuko dsm ndio mtajua shoo ni shoo angalia mtu sio kabati lake, niko sinza na wife niko na ghetto kigamboni, ! Heeheeeiaa, 'Dadadadadae!!! Kolikoli kokorikooo!!!
Hatari hii
 
Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy
emoji23.png
Tutakujengea sanamu pale Magogoni na tutakualika kwenye Mkutano wa mwaka wa Wanaume kama Mgeni mualikwa na mtoa mada
 
Hapo ni kua anakuzunguka, Jaribu kutafakari kwa namna rahisi, Je ni sawa mtu wa umri huo kuwepo nyumbani kwao bado?? Je hata familia yao hawashtuki tu mtu yuko kwenye miaka ya 30 na hajaoa wala hana mtu!!!

Mwambie akutambulishe kwao kama hataki ama anazunguka jua hana nia na wewe mama, tafuta nguvu ya kukimbia ulipo kabla hujaliwa kichwa
Sawa,ahsante
 
Techniques hapo haina haja kwa sababu mie ni expert wa hizo shughuli hapo kuna yafuatayo!

1.Jamaa anaishi na demu wake wa malengo na muda ambao anarudi home ni kuanzia saa 2. So lazma akupange ili usipige simu.

2.Jamaa ana mke ambaye tayari wamefunga ndoa so muda ambao unataka kumpigia simu akiwa na mkewe hawezi pokea on the spot. Siku mkewe akiwa hayupo ndio ataongea na wewe free hadi utashangaa!

3. Hawezi kulala kwako overnight au sleepovers zile. Lazma arudi kwake yani by any means 😅

4.Kufika kwake sahau yani labda siku mkewe akiwa hayupo kasafiri 😂 na huwezi ruhusiwa kwenda kwenda hovyo!

NB: Maisha hayo magumu sana yani niliwahi kuyaishi na manz mmoja alikuwa ananibana kweli nimpeleke kwangu kwa kweli ilikuwaga shughuli yani anaboreka kwanini namkazia kumpeleka kwangu😅 kumbe kule kuna mke mwenzie dah😂😂😂 ujana maji ya moto sikuhizi tumekuwa lakini!
Tumsaidie huyu mdada niseme machache ngoja nipunguze utani sisi wanaume pia tuna haki ya kuwa sampuli kadhaa kuelekea kuoa yawezekana huyo mwingine yuko kwenye harakati za kumuacha, pia hata wakiwa wote badae atachagua yeye, Kila mmoja wetu swali Je, mahusiano unayaanzaje?unayaishije?unapendea nini? Na hupendi kipi?unaamini kwenye nini kama sehemu ya uongo au ukweli?
Kuna kwa haja ama kiu tu, kwa mpito, muda mrefu, mauziano, mdanganyo square n.k

Kwa nini yuko nae? Unamtazama kwa ukusudi wa maana mbele za Mungu?Au kwa ukusudi wa shetani kwa faida yako tu? Hata wake za watu nao wanaomba Mungu. Aangalie yuko upande upi wa kiroho.
 
Back
Top Bottom