Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Si namie nashangaaa hatujawahi kugombana afu yaaani anaongea mambo mengi which are too good to be true!

"Ety baby mie nakusikiliza wewe tu ukitaka ndoa hata kesho tu " mtu kweli hata hatujamaliza muda tufahamiane vizuri?
Ajajajajajaja huyo ni mwongo plus plus...kingine mbona unasema hajakukula sasa[emoji849][emoji849][emoji38][emoji38]
 
Wewe binti kumbe hufai nilikuwa nafanya mipango ya kukuoa lakini kwa staili hii ya kuja kunianika humu basi nimeghairi... kuwa huru tafuta anayekufaa muoane!
 
Mwenzio kama ana kazi ujue mchana anachoka hivi wadada mnatakaga mtu mkeshe mnachat ili iwejee????
Sio kushinda mkichati ila ule muda mnaopata wa kuongea ndiyo anaonesha hayo mapungufu!
 
Una haraka sana ya ndoa? Kama hapana basi hebu tulia. Si mtakua mnatoka hata weekend? Angalia anavyopokea simu zake, na kamwe usionyeshe kumhofia Wala kumchunguza.

Wanaume hatuwezi kudanganya kwa muda mrefu, get to know his friends, ndugu at least wawili watatu..... Fahamu kazini kwake.

Ila kwa mtazamo wangu kutokana na posts/reply zako hapa nimegundua mambo mawili kwako na kwake.

A. Kwako: Uko unapenda ndoa sana sana na hutaki relationship ya kawaida tu, ndio maana akasema "kama unataka ndoa Niko tayari hata kesho". Haya maneno Yana maana kubwa sana na hayakutoka kwa bahati mbaya.

B: Kwa Mtuhumiwa: Ni mtu na family yake ndio maana ukipiga usiku hapokei then baada ya muda anapokea, yaani anatoka nje anaenda kuongelea nje huko mbali Ili asisikike. Hakuna namna Wazazi wa Leo hii wawe wakali kwa kijana wao wa miaka 31 kuongea na simu, hakuna. Yaani saa mbili usiku au saa tatu Yuko na Wazazi wake.....na wewe ukakubali na kuamini!

Ya kwangu ni hayo tu, mengine sitayasema ila niliwahi kufanya hivyo pia. Baadae nikaona ujinga! I'm
Nashukuru
 
He approached me na anadai he loves me na mpk habari ya sex we agreed mpk ndoa ndio tutafanya na hakuwa na issue kuhusiana na hilo ila matendo yake ndio hayaeleweki
Sasa Mvumilie mpe chance wadada wengi mnafeli hamtaki vikao vya kibunge vya kujuana na agenda critical kbsa. Mpigie simu mwambie baby sikia sina muda wa kupoteza wewe unademu ghetto au ni umeoa uko na mke nahitaji kikao na wewe ili nikuache citaki mizinguo. Sisi wanaume macho na nafsi husisimka haijalishi umeoa una demu macho tuliumbiwa na mlipuko na cisi tuna hisia za kuona muda wote sema tunazuga tu. Kuogopa udwanzi kwenye brand zetu.

Unadhani uthubutu wa kumla demu na shosti wake, shosti Zake, dada Au dogo ake unatoka wapi, macho yetu yana mlegezo muda wote!

Beware use brain.

Romanticism ikitangulia huzaa shida hasa hizi artificial. Fantancy haijawahi kushindwa.
 
Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Mhh!! Ushawahi fika kwake??
 
He approached me na anadai he loves me na mpk habari ya sex we agreed mpk ndoa ndio tutafanya na hakuwa na issue kuhusiana na hilo ila matendo yake ndio hayaeleweki
He he and you bought that😅 cheap janja janja..Kuna mambo ambayo mwanaume rijali hawezi kubali and among those ni wewe kusema eti mtaanza kutafunana baada ya ndoa.

Utakuja uangue kilio siku moja kuwa makini😅
 
Si amegundua unataka ndoa?? Siku hizi demi akijifanya ngumu wewe mtangazie ndoa tu ... Utampata tena Kwa gharama zake
Yaaani this started tulipokubaliana no sex before marriage akasema it is OK!
Nikamuuliza are you sure mpk tuoane utakuwa muaminifu mbele ya Mungu ?
Akasema yes dear"unajua suala LA ndoa wewe utakaposema muda wowote tu mie Niko tayari Ee"
Ndio. Na mm nikaanza kushangaa pia
 
Back
Top Bottom