CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Madam[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Khaa umeua kambi ya ADF Mkuu, ila pia kuna wapigaji gentle wanawavutia kasi badae wanakula kisa hawakuwa na mchecheto wa striking. Hakunaga uniformity
Mwanamke wa kuliwa habishiwi after that kama unaliwa na wengine wakati huo unapendekeza abstain muda utaongea na bikra huliwa kigentle tu kama hivo.Yaaani this started tulipokubaliana no sex before marriage akasema it is OK!
Nikamuuliza are you sure mpk tuoane utakuwa muaminifu mbele ya Mungu ?
Akasema yes dear"unajua suala LA ndoa wewe utakaposema muda wowote tu mie Niko tayari Ee"
Ndio. Na mm nikaanza kushangaa pia
Ni mume wa mtu huyo dear huyo mama anaezungumzia Ni mkewe. Kwakuea penzi Ni changa kwako ndo maana ukipiga hapokei Ila anatafuta mazingira ya kukupiga baadae. Lakini penzi likisha chakaa hakuna rangi utaacha kuona. So watch outNikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Mwanaa yuko vizuri sana Mwanamke mkubalie kila kitu ndio utajua unajua na msifie tu. Next episode.....Si namie nashangaaa hatujawahi kugombana afu yaaani anaongea mambo mengi which are too good to be true!
"Ety baby mie nakusikiliza wewe tu ukitaka ndoa hata kesho tu " mtu kweli hata hatujamaliza muda tufahamiane vizuri?
Hii isikutawale Sana itakutesa mno unaweza anzisha mahusiano na mtu ukahisi Ni muoaji kumbe mwongo, jambazi kuu la mapenzi,muhujumu wa mapenzi. Tulia mshirikishe Mungu usitumie akili zako muda sahihi ukifika bas utapata mwenza lakini sio kuforce utakuja kuangukia pua.Inategemea na malengo yako!
Mimi sihitaji mwanaume for enjoyment tu ,hapana ....
Daah yeleewiiHeheheeee....Umenikumbusha mbaaaali saaaana. Kuna jamaaa alishawahi kunifanyia huu mchezo unaofanyiwa wewe hivi sasa.
Saivi nikikumbuka huwa naishia kucheka tuu...nawaza hivi nilikuwaje mjinga hata sikumgundua mapema...Ila ndio maisha...Kila siku ni kujifunza.
Miaka 31 bado anachungwa na wazazi wake? Labda ana miaka 13 siyo 31[emoji23] .Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Hii ndio dawa ya kumtoa Nyoka relini, Mwanamke anapenda kusikia na anafurahia et kisha baadae ndio anatafakari kuhusu ukweli au uongo!!Na hii ndo mbinu kubwa ya wanaume tuliooa[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu dada inabidi ajue kuna tabia za kiume na kama hizo tabia hazioni kwa mwanaume ajue kbs kuna vitu anafichwa.
Mtu anakwambia hata kesho naweza kukuoa halafu huyo huyo eti sex after marriage ni sawa.Huu ni uongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,
Utaona anakupa ratiba kibaooo
Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??
Na mwitikio unakua mzuri tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Anyway mume wa mtu mtamu na mzuri ila raha awe amekuambia mwenyewe na umeridhia apo utaenjoy [emoji23]
Ha ha haNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Kwahiyo unamshauri aendelee kupoteza Muda?Kama unataka kumpa we mpe tu..ndoa haizuii naz isikunwe....kama kuolewa bas atakuoa wewe akikataa kukuoa bas ana mtu anaemtarajia au anae
Stay focused, mshirikishe Mungu. AtakuoneshaHe approached me na anadai he loves me na mpk habari ya sex we agreed mpk ndoa ndio tutafanya na hakuwa na issue kuhusiana na hilo ila matendo yake ndio hayaeleweki
AhsanteeeHii isikutawale Sana itakutesa mno unaweza anzisha mahusiano na mtu ukahisi Ni muoaji kumbe mwongo, jambazi kuu la mapenzi,muhujumu wa mapenzi. Tulia mshirikishe Mungu usitumie akili zako muda sahihi ukifika bas utapata mwenza lakini sio kuforce utakuja kuangukia pua.
Kuwa na late 20z kusikuumize kichwa after all Kuna watu wanaolewa Hadi na 35 na maisha yanaendelea
Namshangaa huyu member maenzetu tena wanawake wanajua sana Kufanya Survey kuliko sisi wanaume!Hivi kweli mwanamke anashindwa kujua mwanaume ambaye ameoa?
Yaani hata kama mwanaume hajaoa lakini ana mpenzi rasmi mwingine bado ni jambo rahisi sana kujua.
Mwanaume anaweza kujaribu kuficha kwa gharama zote, lakini mwanamke akitulia na kujipa muda atagundua tu.
Hata kinyonga anayo rangi yake rasmi ya asili pamoja na kuwa na uwezo wa kujibadili rangi kila wakati. Ukitulia na kujipa muda kumtazama utaigundua.
Ahsante!Stay focused, mshirikishe Mungu. Atakuonesha
Eti kijana wa miaka 31 mzazi anakuwa mkali kwake kwa kuongea na simu na Mwanamke!!! Jamani uongo mwingineHaahaaaa