Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Demu wa jamvii hili ana ubavu wa abstaining from sex hio haipogo sema mademu wakati Ana abstain kwako kwengine anaendelea kuliwa kama zote zote. Yelewiii. Kijogoo ndemba ndemba ni ndemba tu kwa hisani ya watu wa Mbeya.
Hongera ,huo ni mtazamo wako pia
 
Demu wa jamvii hili ana ubavu wa abstaining from sex hio haipogo sema mademu wakati Ana abstain kwako kwengine anaendelea kuliwa kama zote zote. Yelewiii. Kijogoo ndemba ndemba ni ndemba tu kwa hisani ya watu wa Mbeya.
Haahahaha huwa wana abstain kwa maboya ili akuingize kingi! You can not tell me eti mwanamke from 18-28 years awe hajagongwa sana hapo katikati. Eti mwanamke ambaye kashaliwa sana Versity hapo na kutoa mimba kadhaa aje na kujifanya ni sista wa parokiani kuwa hajawahi liwa😅 wakati masista tu wenyewe wanapelekewa moto.

Kwa kizazi hichi cha watoto wa 90’s -Present ni ngumu kweli kweli!
 
Yaaani this started tulipokubaliana no sex before marriage akasema it is OK!
Nikamuuliza are you sure mpk tuoane utakuwa muaminifu mbele ya Mungu ?
Akasema yes dear"unajua suala LA ndoa wewe utakaposema muda wowote tu mie Niko tayari Ee"
Ndio. Na mm nikaanza kushangaa pia
Ukisikia mtu anakuambia atakuoa siku ya kwanza huyo ni tapeli kimbia mpk uvunjike mguu.Ni urafiki kwanza baadae inakuwa uchumba na mwisho kabisa ni ndoa au kuishi pamoja kama wanandoa
 
Anakuwa na mvuto kuliko ambaye hayupo kwenye mahusiano
Ukiona mwanaume unavutiwa nae sana 85% yupo kwenye mahusiano.

Anakuwa hana njaa za uchi
Khaa umeua kambi ya ADF Mkuu, ila pia kuna wapigaji gentle wanawavutia kasi badae wanakula kisa hawakuwa na mchecheto wa striking. Hakunaga uniformity
 
Ukisikia mtu anakuambia atakuoa siku ya kwanza huyo ni tapeli kimbia mpk uvunjike mguu.Ni urafiki kwanza baadae inakuwa uchumba na mwisho kabisa ni ndoa au kuishi pamoja kama wanandoa
Ahsante dear kwa ushauri mzuri!
 
Ukisikia mtu anakuambia atakuoa siku ya kwanza huyo ni tapeli kimbia mpk uvunjike mguu.Ni urafiki kwanza baadae inakuwa uchumba na mwisho kabisa ni ndoa au kuishi pamoja kama wanandoa
Wapo kikubwa maongezi talk talk talk ask questions, clear doubts severally, dhamana na maamuzi tunayo wenyewe akili akili akili
 
Hapana hii siyo sawa!kama unajua maaana ya upendo na dating for a purpose
Mkuu, huyo jamaa umeshampa jojo? Wanaume tunazingua sana, kama mtu kaoa kwa nini asiwe wazi tu manake kama ni kukataliwa ijulikane hivyo.
 
Ofcourse kuwa na multiple partners inatokeaga at times unatafta mwenza sahihi sio kosa. Unaweza kuwa nao ili kupata picha halisi ya nani madhaifu yake unaweza kuyabeba ila sasa itategemea na intention zao hao watu wako.

Huyu mtoa mada yeye yupo kwenye deadline sikazi ana miaka 29 sasa so anatafta mtu wa kumuoa immediately ndio yamkini ana wasiwasi. Ila kwa sisi wanaume unaweza kuwa huna mpango huo ndio shida inapoanzia hapo. Hata aongee na mungu au vipi hana guarantee kuwa mjuba yupo nae serious!
Kamanda Mungu Ana nguvu sana hasa kama mdada kiroho anaujazo wa kutosha uongo hautoboi.
 
He he and you bought that[emoji28] cheap janja janja..Kuna mambo ambayo mwanaume rijali hawezi kubali and among those ni wewe kusema eti mtaanza kutafunana baada ya ndoa.

Utakuja uangue kilio siku moja kuwa makini[emoji28]
Hahahahahaha
 
Yaaani this started tulipokubaliana no sex before marriage akasema it is OK!
Nikamuuliza are you sure mpk tuoane utakuwa muaminifu mbele ya Mungu ?
Akasema yes dear"unajua suala LA ndoa wewe utakaposema muda wowote tu mie Niko tayari Ee"
Ndio. Na mm nikaanza kushangaa pia
Mwambie unataka ndoa kesho sasa
 
Ukisikia mtu anakuambia atakuoa siku ya kwanza huyo ni tapeli kimbia mpk uvunjike mguu.Ni urafiki kwanza baadae inakuwa uchumba na mwisho kabisa ni ndoa au kuishi pamoja kama wanandoa
Very true
 
Back
Top Bottom