- Thread starter
- #81
Ety he is mamaz boy !😂😂😂
At 31 Kwa kijana wa kiume mzazi anaanzaje kuwa mkali?!!!
Fix tu hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ety he is mamaz boy !😂😂😂
At 31 Kwa kijana wa kiume mzazi anaanzaje kuwa mkali?!!!
Fix tu hapo
Is the process of texting and calling each otherMambo 3:
1. Communication
2. Communication
3. Communication
He approached me na anadai he loves me na mpk habari ya sex we agreed mpk ndoa ndio tutafanya na hakuwa na issue kuhusiana na hilo ila matendo yake ndio hayaelewekiTumsaidie huyu mdada niseme machache ngoja nipunguze utani sisi wanaume pia tuna haki ya kuwa sampuli kadhaa kuelekea kuoa yawezekana huyo mwingine yuko kwenye harakati za kumuacha, pia hata wakiwa wote badae atachagua yeye, Kila mmoja wetu swali Je, mahusiano unayaanzaje?unayaishije?unapendea nini? Na hupendi kipi?unaamini kwenye nini kama sehemu ya uongo au ukweli?
Kuna kwa haja ama kiu tu, kwa mpito, muda mrefu, mauziano, mdanganyo square n.k
Kwa nini yuko nae? Unamtazama kwa ukusudi wa maana mbele za Mungu?Au kwa ukusudi wa shetani kwa faida yako tu? Hata wake za watu nao wanaomba Mungu. Aangalie yuko upande upi wa kiroho.
Kwa umri huo hata mama ake anatamani mwanae awe na mwenzaEty he is mamaz boy !
Mwenzio kama ana kazi ujue mchana anachoka hivi wadada mnatakaga mtu mkeshe mnachat ili iwejee????Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Madam abeee[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahsante eee,au ndio maaana nikimpigia muda mingine anaongea kwa nguvu kama hanisikii afu ananiita madam
Hata Mungu anasema anapendezwa na watakatifu wake waliopo duniani!which means muda ule unaofikiria ya kuwa haiwezekani kutenda yampendezayo Mungu kuna wengine wanaweza!Siyo kwa kizazi cha Leo.
Meaning ww uendelee na mtu wako na yy hivyo hivyo huku mkisubiria pingu za kudumu?He approached me na anadai he loves me na mpk habari ya sex we agreed mpk ndoa ndio tutafanya na hakuwa na issue kuhusiana na hilo ila matendo yake ndio hayaeleweki
Eeh ndio madam[emoji848][emoji1787]Heee [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yani bora umwambia mwanake ukweli tu nimeoa aamue yeye...Madam abeee[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wanaume hahahaha
Uko sawa kabisaKwa umri huo hata mama ake anatamani mwanae awe na mwenza
Amvushe tena kiuchumi mtu anayekaa kwaoWewe usijifanye unatafuta wa kwako hutampata, mkubalie huyo akivushe kiuchumi baadaye mzae maisha yasonge hawa vijana ndio hawaeleweki kabisa utampa tunda kisha anakumwaga tena ukicheza atakuzalilisha
HaahaaaaHii Kali ya kufungia mwaka,
Mbaya zaidi umeshapenda hadi umekua kipofu
Mwongo wewe umeti.waHapana bado
Ni kweli time is everythingHivi kweli mwanamke anashindwa kujua mwanaume ambaye ameoa?
Yaani hata kama mwanaume hajaoa lakini ana mpenzi rasmi mwingine bado ni jambo rahisi sana kujua.
Mwanaume anaweza kujaribu kuficha kwa gharama zote, lakini mwanamke akitulia na kujipa muda atagundua tu.
Hata kinyonga anayo rangi yake rasmi ya asili pamoja na kuwa na uwezo wa kujibadili rangi kila wakati. Ukitulia na kujipa muda kumtazama utaigundua.
Ofcourse kuwa na multiple partners inatokeaga at times unatafta mwenza sahihi sio kosa. Unaweza kuwa nao ili kupata picha halisi ya nani madhaifu yake unaweza kuyabeba ila sasa itategemea na intention zao hao watu wako.Tumsaidie huyu mdada niseme machache ngoja nipunguze utani sisi wanaume pia tuna haki ya kuwa sampuli kadhaa kuelekea kuoa yawezekana huyo mwingine yuko kwenye harakati za kumuacha, pia hata wakiwa wote badae atachagua yeye, Kila mmoja wetu swali Je, mahusiano unayaanzaje?unayaishije?unapendea nini? Na hupendi kipi?unaamini kwenye nini kama sehemu ya uongo au ukweli?
Kuna kwa haja ama kiu tu, kwa mpito, muda mrefu, mauziano, mdanganyo square n.k
Kwa nini yuko nae? Unamtazama kwa ukusudi wa maana mbele za Mungu?Au kwa ukusudi wa shetani kwa faida yako tu? Hata wake za watu nao wanaomba Mungu. Aangalie yuko upande upi wa kiroho.
Anataka kutukataa sio kwamba sie watoto humu😅Mwongo wewe umeti.wa