Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Utamjuaje mwanaume ambaye tayari yuko kwenye ndoa ama mahusiano mengine?

Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Aaaah,huyo tena ana mke na watoto shida wadada hawatakagi kujua ukweli yaani mnapenda kuambiwa uongo yaani ukiona mtu mzima anakwambia hivo ujue anamke na watoto trust me
 
Nikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!

Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga

Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Muulize ana watoto wangapi labda maana nina uhakika wana ndoa ya kanisani kama siyo msikitini
 
Aaaah,huyo tena ana mke na watoto shida wadada hawatakagi kujua ukweli yaani mnapenda kuambiwa uongo yaani ukiona mtu mzima anakwambia hivo ujue anamke na watoto trust me
Mama yake ni mkali sana hapendi kupokea simu za wanawake mbele yake....jamaa liongo kinomaz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]
 
Mama yake ni mkali sana hapendi kupokea simu za wanawake mbele yake....jamaa liongo kinomaz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]
Huyu mdada kuna kitu anakitafta shauri yake na kwa jinsi namuona sidhani kama ataamua achunguze kimtindo,imagine eti mnawasiliana mchana afu sa mbili kamili anakuaga mpaka kesho
 
Huyu mdada kuna kitu anakitafta shauri yake na kwa jinsi namuona sidhani kama ataamua achunguze kimtindo,imagine eti mnawasiliana mchana afu sa mbili kamili anakuaga mpaka kesho
Mpaka huyo mke atakapompigia simu na kumtishia kummwagia acid na nyembe ndo ataacha[emoji848]
 
Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom