Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Vipi huwa inakuwaje tupe dondoo tuwe tunajipanga kabla hamjaja maghettoni
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]tulia wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi huwa inakuwaje tupe dondoo tuwe tunajipanga kabla hamjaja maghettoni
Wanawake wanazo ndala tofauti tofauti.Hiyo ni figure of speech, apotezee haraka mahusiano yasiyoeleweka na ahakikishe nothing holds her back. Kama kandambili zinavyomhold back mkimbiaji.
Wewe ulielewa vipi mkuu?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Wanaume wengi hawasemi kama wameoaWewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,
Utaona anakupa ratiba kibaooo
Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??
Na mwitikio unakua mzuri tu.
Aaaah,huyo tena ana mke na watoto shida wadada hawatakagi kujua ukweli yaani mnapenda kuambiwa uongo yaani ukiona mtu mzima anakwambia hivo ujue anamke na watoto trust meNikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31
Shauri yako utatapeliwa wanaume wanapenda sana slope siku hiziKila siku lazima aseme "I love /need/miss you"lakini mgumu sana wakuonesha kimatendo
Kaka emu kuwa serious dada anahitaji mme wa ndoa upo?Enjoy love n sex as it lasts! Maswala ya kujifanya FBI kwenye mahusiano hutakaa ufurahie wala!
Muulize ana watoto wangapi labda maana nina uhakika wana ndoa ya kanisani kama siyo msikitiniNikijua ni mume wa MTU nitamuacha kwa sababu ninapenda nijipatie wa kwangu!
Ila kuhusiana na kuwasiliana yuko active sana kuchat asubuhi mpk muda ya SAA mbili anawahi kuaga
Na huyu kijana sijakuwa naye hata mwezi uishe ila matendo yake yananishtua
Case closedNi mume wa mtu huyo dear huyo mama anaezungumzia Ni mkewe. Kwakuea penzi Ni changa kwako ndo maana ukipiga hapokei Ila anatafuta mazingira ya kukupiga baadae. Lakini penzi likisha chakaa hakuna rangi utaacha kuona. So watch out
Hivi ni kwaniniWanaume wengi hawasemi kama wameoa
Mama yake ni mkali sana hapendi kupokea simu za wanawake mbele yake....jamaa liongo kinomaz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]Aaaah,huyo tena ana mke na watoto shida wadada hawatakagi kujua ukweli yaani mnapenda kuambiwa uongo yaani ukiona mtu mzima anakwambia hivo ujue anamke na watoto trust me
Sijui yaani yaani unaona libaba limtu mzima ila linasema et halijaoa sijui kwa nini hata mmewangu nshamfuma anasema hajaoa nilicheka sanaHivi ni kwanini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora usimpigie simu usiku asije akafukuzwa kwao mkuu. [emoji38][emoji38]
Huyu mdada kuna kitu anakitafta shauri yake na kwa jinsi namuona sidhani kama ataamua achunguze kimtindo,imagine eti mnawasiliana mchana afu sa mbili kamili anakuaga mpaka keshoMama yake ni mkali sana hapendi kupokea simu za wanawake mbele yake....jamaa liongo kinomaz[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]
Ahaaaahaaahaaa [emoji38][emoji38][emoji38]Sijui yaani yaani unaona libaba limtu mzima ila linasema et halijaoa sijui kwa nini hata mmewangu nshamfuma anasema hajaoa nilicheka sana
Baharia huyo mwache atambe 😂😂😂Sijui yaani yaani unaona libaba limtu mzima ila linasema et halijaoa sijui kwa nini hata mmewangu nshamfuma anasema hajaoa nilicheka sana
Mpaka huyo mke atakapompigia simu na kumtishia kummwagia acid na nyembe ndo ataacha[emoji848]Huyu mdada kuna kitu anakitafta shauri yake na kwa jinsi namuona sidhani kama ataamua achunguze kimtindo,imagine eti mnawasiliana mchana afu sa mbili kamili anakuaga mpaka kesho
Nyie sio watuBaharia huyo mwache atambe [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe si sukari yaoWewe uwe unapenda kuongea naye usiku kwenye simu .,
Utaona anakupa ratiba kibaooo
Lkn kwann akufiche?? Mimi nikitaka mwanamke, namwambia tu, aisee nmekuelewa ila Nina familia, tunaweza Kulana ??
Na mwitikio unakua mzuri tu.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nikimpigia usiku mm hapokei,anakaa kama DKK 10 afu ananipigia anadai yuko na mzazi ake ni mkali hawezi kuongea mbele yake!na hiyo kijana ana miaka 31